Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,801
- 43,177
Mmhh hata sijui nisemejee. ..
Tabasamu limefunika uso wote nashindwa kulizuia ni sawa na ukijazwa roho mtakatifu unajikuta tuu unanena kwa lugha bila kujizuia yaani hata ukifunga mdomo unafunguka wenyewe unajikuta tuu umetamka neno usilolifahamu.
Tangu asubuhi nimesha pata marafiki wa nne kwa kuwa tabasamia wao wakidhani nimewafurahia kumbe mie nina yangu, upako umenishukia na kusababisha uso wote umejaa tabasamu heheheheheee.
Acha aitwe Messiah. ..
Kasie mie nina ng'araa...
Tabasamu limefunika uso wote nashindwa kulizuia ni sawa na ukijazwa roho mtakatifu unajikuta tuu unanena kwa lugha bila kujizuia yaani hata ukifunga mdomo unafunguka wenyewe unajikuta tuu umetamka neno usilolifahamu.
Tangu asubuhi nimesha pata marafiki wa nne kwa kuwa tabasamia wao wakidhani nimewafurahia kumbe mie nina yangu, upako umenishukia na kusababisha uso wote umejaa tabasamu heheheheheee.
Acha aitwe Messiah. ..
Kasie mie nina ng'araa...