Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,481
- 27,185
Pia piga U turn Jiulize kwa nn anaekubalika bara na Visiwani anaomba dola imsaidie kuingia Makao Makuu?
Umedhamiria Kupotosha! CUF haiombi Jeshi la Polisi Kuwaingiza Ofisini! Bali inafata taratibu Za Kisheria Kwani Haina Sababu Ya Kutumia Nguvu Kuingiwa Ofisini Kama alivyofanya Lipumba
Ndani Ya Ofisi Muna Lipumba na Wahuni Wenziwe, Sasa CUF ni lazima ifuate taratibu Za kisheria Kuwatoa Hao Genge la Wahuni! Kwani ikitumia Nguvu itakua ni Uvunjifu Wa Amani Na Dola itapata Nafasi Ya Kuzidi Kuukandamiza Upinzani Jambo Ambalo Dola Ndiyo Wanalolitaka.
Sasa Tulishuhudia Defenders Za polisi Zikimlinda Lipumbavu na Wahuni Wenziwe Wakimlinda Lipumbavu na Kumwingiza Kwenye Ofisi Ya CUF! Sasa Tunataka Haohao Polisi Waachane na Tabia Ya Kuwaunga Mkono Wahuni.