Mapokezi ya Mbunge wa Iringa

Mapokezi ya Mbunge wa Iringa

Hivi bado kuna watu wanafikiria jimbo la iringa! Kwa mwanya upi? Wakati PSM ndo huyooo, mtoto wa mkulima mwenyewe anamjua hilo ni jembe.
 
Hata mie Zitto nilimkubali kwa baadhi ya mambo alipokuwa chadema . nje ya chadema sitaki hata kumsikia.
 
Mbunge Wetu kwa miaka mitano ijayo ni nduguyetu, Mahmoud Madenge kutoka CCM, msigwa rudi njombe kagombee

Duh madenge? !!!!!!!!!!!!!!!! ???????????? awe kiongozi madenge kwi kwi kwi!!!!! kweli ccm ya kinamadenge na kobelo
 
Iringa naombeni uyo mtu arudi bungeni aisee hawa ndio wabunge tunaowataka msifanye kosa la kuleta CCM pleaseeeeee i wish ningekuwa mkazi wa iringa
 
Jina lenyewe Madenge..!! Msigwa atosha 2015-2020

Madenge mwingine anaitwa Mandele ( wakili wa kujitegemea ) na Ilunga ( Papaa ) na Kampuni ya BASIN ilukuwa pale Quality plaza. Daaah! Usinikumbushe hata mmoja wao. Kweli MUNGU mkubwa
 
msigwa kiboko ya wanafiki iringa , mwakalebela endelea na ukuu wa wilaya uvae suti mpya kila wiki .
 
Back
Top Bottom