Siku ya Jumapili, tarehe 19, Wanairinga wote wapenda maendeleo mnakumbushwa kuwa kutakuwa na mapokezi ya kumpokea Mbunge wetu mpendwa, Peter Msigwa, na kuelekea katika viwanja vya Mwembetogwa kwa ajili ya mkutano mkubwa wa kuwashukuru na kuomba ridhaa ya kutuongoza katika awamu ya pili.
Na kama kaiwada yetu, nina imani tutafunika kama tulivyofanya katika mikutano yetu tuliyofanya, maana magamba yashaanza kuongea, lakini Jumapili ni siku ya kuyafunga midomo, " tusiruhusu fikra ndogo kutawala fikra kubwa"
Na kama kaiwada yetu, nina imani tutafunika kama tulivyofanya katika mikutano yetu tuliyofanya, maana magamba yashaanza kuongea, lakini Jumapili ni siku ya kuyafunga midomo, " tusiruhusu fikra ndogo kutawala fikra kubwa"