chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 11,996
- 20,647
Ni wazi kwamba Misri inapata fedha nyingi kutokana na haya mapiramidi
Nashauri serikali ijenge mfanano wa mapiramidi katika wilaya ya chato ambayo iko jirani na mbuga ya Chato Burigi.
Piramidi hili lijengwe pembeni ya mbuga ambapo litazungukwa na mahoteli ya kitalii, baada ya watalii kutoa dola zao kuliangalia,wataelekea mbuga ya wanyama(wale wanyama watano waliopelekwa) na kutalii kuangalia mambo mazuri ambayo Mwenyezi Mungu ameitunuku nchi yetu.
Kidumu chama cha mapinduzi
Nashauri serikali ijenge mfanano wa mapiramidi katika wilaya ya chato ambayo iko jirani na mbuga ya Chato Burigi.
Piramidi hili lijengwe pembeni ya mbuga ambapo litazungukwa na mahoteli ya kitalii, baada ya watalii kutoa dola zao kuliangalia,wataelekea mbuga ya wanyama(wale wanyama watano waliopelekwa) na kutalii kuangalia mambo mazuri ambayo Mwenyezi Mungu ameitunuku nchi yetu.
Kidumu chama cha mapinduzi