Tangu miaka 1980 nimekuwa nikiwasikia wazee wa Yanga. Hivi hawa ni wazee wa umri, wachawi au wenye hisa. Sitarajii kama timu ya Yanga, na siyo klabu,itapata maendeleo.
Tangu miaka 1980 nimekuwa nikiwasikia wazee wa Yanga. Hivi hawa ni wazee wa umri, wachawi au wenye hisa. Sitarajii kama timu ya Yanga, na siyo klabu,itapata maendeleo.