Ni vituko vilivyojitokeza katika moja ya vituo vya kupigia kura eneo la kituo cha fire, eneo lililozungukwa na kambi ya polisi dr. Slaa alishinda kwa 80%.
Na wengine waliopangiwa kusimamia vituo vya uchaguzi wakisononeshwa na ushindi wa jk.
Hii inadhilishwa na mapinduzi ya ufaransa ambayo polisi waliungana na raia kuondoa utawara wa kiimla.
KAA CHONJO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!