Mapinduzi ya Sayansi Vs Mapinduzi ya Historia

Mapinduzi ya Sayansi Vs Mapinduzi ya Historia

MURUSI

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
4,564
Reaction score
8,876
Hii nchi ni kama tunaenda kinyumenyume.

Historia ni nzuri ila haina nafasi kwenye Dunia ya sasa ya Mapinduzi makubwa sana ya Viwanda.

Tunaambiwa hadi mwaka 2030 zaidi ya kazi Milion 800 zitafanywa na mashine, maana yake watu hao milion 800 wanaenda kuwa jobless.

Wote ni mashahidi ya kinacho endelea kwa sasa kwamba sayansi inachukua nafasi kubwa mno.

Kama ni Historia ya Mchi vingeandaliwa vipindi vya kutosha kwenye TV na Radio kwa ajili ya kutoa elimu ya Historia.

Nilitarajia Raisi angesema haya:
  • Natoa Mwaka mmoja nchi usiagize mafuta ya kula tena nje ya nchi
  • Natoa mwaka mmoja Watanzani waje na ubunifu wa mashine za kuzalisha tothpick
  • Kuanzia sasa tusitumie Dolla kuagiza fenicha nje wakati tuna misitu ya kutosha
Yes Historia ni sawa je Kwenye Hii Dunia ya leo hii ina nafasi gani?

Wachina wamejaa Tanzania ndo wanajenga kila kitu hatushituki? Tunaona ni sawa wajenge wao?
 
Kama unangoja mpaka kauli atoe Rais ndipo uwe mbunifu, utasuburi sana hadi Planet Pluto igundulike for the second time. Nasisitiza, tuchape kazi kwa bidii, nchi yetu ni tajiri sana.
 
Kama unangoja mpaka kauli atoe Rais ndipo uwe mbunifu, utasuburi sana hadi Planet Pluto igundulike for the second time. Nasisitiza, tuchape kazi kwa bidii, nchi yetu ni tajiri sana.
Soma tena uzi kwa makini halafu utafakari!...Mtoa Mada hajasema hatupigi kazi,,ila anasisitiza "KUENDANA NA TECHNOLOGIA". mfano Tunalima sanaa ila kwa Jembe la mkono ?..ilhali kwa sasa kutokana na Tecnologia hili limepitwa na wakati!.. hili ndilo dhumuni la maada,,,
 
Back
Top Bottom