Dakika moja ndo anamtoa Kibu? Bora walivyomfanya awe kocha msaidizi huyu Mgunda. Kuna sababu gani ya kuwapeleka wachezaji wote Zenj halafu huwachezeshi?
Okra ni mtu anafaa kuwa kikosi cha kwanza, ila mgund huwa anamuharibu kumpanga akacheze winga ya kushoto, hawezi kukupa kilicho bora zaidi, kama anavyotaka kumuharibu sakho.
Dakika moja ndo anamtoa Kibu? Bora walivyomfanya awe kocha msaidizi huyu Mgunda. Kuna sababu gani ya kuwapeleka wachezaji wote Zenj halafu huwachezeshi?