Mashabiki bwana, yaani bonanza mnachukulia serious kiasi hiki. Binafsi hata ingekuwa ndio Yanga kaweka kikosi dhaifu halafu hata goli nane nisingechukia wala kulalamika. Sioni mantiki ya hii michuano
Mashabiki bwana, yaani bonanza mnachukulia serious kiasi hiki. Binafsi hata ingekuwa ndio Yanga kaweka kikosi dhaifu halafu hata goli nane nisingechukia wala kulalamika. Sioni mantiki ya hii michuano
Ila sio kwa kikosi hiki chaaa...wacha wafungwe tuu..yani okra anacheza uwanja mzima mwenyewe anaanzia juu kule anashuka mpk huku golini anakibarua cha kumsadia Steven Mwanuke maana mipira mingi inapitia kwake...any way bora wamewachezesha na sisi tujionee..