shinyangakwetu
JF-Expert Member
- Jun 25, 2015
- 2,487
- 2,395
MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI!
Mara alipoanza kazi kama kamishna jenerali wa jeshi la zimamoto, AFANDE ANDENGENYE, alianza rasmi kufanya kazi kisayansi na kutafiti kihusu uwezo wa jeshi letu la zimamoto kufika maeneo mbalimbali ya miji yetu na kufanya kazi ya uokoaji.
Utafiti huo ulionyesha madhaifu yaliyopo ya miundombinu mibovu na ujenzi holela unaochelewesha na hata kuzuia bidii za uokoaji za jeshi letu la zimamoto na, ninafikiri, vifaa vilivyopendekezwa kununuliwa kwa ajili ya jeshi letu la zimamoto ndivyo vimeghalimu utendaji uliotukuka wa AFANDE ANDENGENYE!
Huu ni uonevu, na, ninavyoona mimi, wa kuwajibishwa hapa ni waziri husika, Lugola, ambaye ni muwakilishi wa wizara bungeni na ndiye aliyepaswa kushughulika na taratibu na kanuni za bunge!
Naomba rais apitie tena uamuzi wake, japo mkuu yupo sahihi mara zote!
MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI!
Mara alipoanza kazi kama kamishna jenerali wa jeshi la zimamoto, AFANDE ANDENGENYE, alianza rasmi kufanya kazi kisayansi na kutafiti kihusu uwezo wa jeshi letu la zimamoto kufika maeneo mbalimbali ya miji yetu na kufanya kazi ya uokoaji.
Utafiti huo ulionyesha madhaifu yaliyopo ya miundombinu mibovu na ujenzi holela unaochelewesha na hata kuzuia bidii za uokoaji za jeshi letu la zimamoto na, ninafikiri, vifaa vilivyopendekezwa kununuliwa kwa ajili ya jeshi letu la zimamoto ndivyo vimeghalimu utendaji uliotukuka wa AFANDE ANDENGENYE!
Huu ni uonevu, na, ninavyoona mimi, wa kuwajibishwa hapa ni waziri husika, Lugola, ambaye ni muwakilishi wa wizara bungeni na ndiye aliyepaswa kushughulika na taratibu na kanuni za bunge!
Naomba rais apitie tena uamuzi wake, japo mkuu yupo sahihi mara zote!
Haya ni mawazo yako.Siku zote upandacho ndicho utakachovuna.Kule Arusha alipokuwa mpaka leo hawajasahau alichokifanya alipokuwa Rpc.Akidai kuwa anazuia nguvu ya Chadema.Akasababisha damu za Watanzania kumwagika Pale stendi na pale Kiwanja cha Soweto na maeneo mengine mengi Arusha.Andengenye ni mwadilifu Sana na makini mwerevu mcheshi mpole na mwenye utu na adabu sijui kwanini Hana bahati anyway naamini Mungu atamuinua siku moja wekeni kumbukumbu hii comment yangu.
Mtu anaye watetea polis sijui namwonaje ?
Kwa jinsi Arusha ilivyokuwa ya moto, enzi za CHADEMA ya Dr Slaa, RPC mbovu angesababisha GENOCIDE au/na VITA VYA KIDINI!Haya ni mawazo yako.Siku zote upandacho ndicho utakachovuna.Kule Arusha alipokuwa mpaka leo hawajasahau alichokifanya alipokuwa Rpc.Akidai kuwa anazuia nguvu ya Chadema.Akasababisha damu za Watanzania kumwagika Pale stendi na pale Kiwanja cha Soweto na maeneo mengine mengi Arusha.
Nakumbuka mara nyingi mikutano ya Mbunge Lema alikuwa haachi kumtaja na kumwonya juu ya vitendo vya kutumia jeshi la polisi kupiga na kunyanyasa raia.Hakusikia mpaka alipohamishwa.
Nasema hivi hicho alichopokea ni kidogo.Asubiri machungu zaidi kwa sababu yatima aliowazalisha Andengenye bado wanalia usiku na mchana.
Ili aishi kwa amani namshauri kutubu na kuwaomba Watanzania wa Arusha msamaha wa dhati ndipo laana hii itamwacha huru.
MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI!
Mara alipoanza kazi kama kamishna jenerali wa jeshi la zimamoto, AFANDE ANDENGENYE, alianza rasmi kufanya kazi kisayansi na kutafiti kihusu uwezo wa jeshi letu la zimamoto kufika maeneo mbalimbali ya miji yetu na kufanya kazi ya uokoaji.
Utafiti huo ulionyesha madhaifu yaliyopo ya miundombinu mibovu na ujenzi holela unaochelewesha na hata kuzuia bidii za uokoaji za jeshi letu la zimamoto na, ninafikiri, vifaa vilivyopendekezwa kununuliwa kwa ajili ya jeshi letu la zimamoto ndivyo vimeghalimu utendaji uliotukuka wa AFANDE ANDENGENYE!
Huu ni uonevu, na, ninavyoona mimi, wa kuwajibishwa hapa ni waziri husika, Lugola, ambaye ni muwakilishi wa wizara bungeni na ndiye aliyepaswa kushughulika na taratibu na kanuni za bunge!
Naomba rais apitie tena uamuzi wake, japo mkuu yupo sahihi mara zote!
MPELEKE BUNGENI WEWE KAMA UNAHISI N RAHISI HIVYO KHAMNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI!
Mara alipoanza kazi kama kamishna jenerali wa jeshi la zimamoto, AFANDE ANDENGENYE, alianza rasmi kufanya kazi kisayansi na kutafiti kihusu uwezo wa jeshi letu la zimamoto kufika maeneo mbalimbali ya miji yetu na kufanya kazi ya uokoaji.
Utafiti huo ulionyesha madhaifu yaliyopo ya miundombinu mibovu na ujenzi holela unaochelewesha na hata kuzuia bidii za uokoaji za jeshi letu la zimamoto na, ninafikiri, vifaa vilivyopendekezwa kununuliwa kwa ajili ya jeshi letu la zimamoto ndivyo vimeghalimu utendaji uliotukuka wa AFANDE ANDENGENYE!
Huu ni uonevu, na, ninavyoona mimi, wa kuwajibishwa hapa ni waziri husika, Lugola, ambaye ni muwakilishi wa wizara bungeni na ndiye aliyepaswa kushughulika na taratibu na kanuni za bunge!
Naomba rais apitie tena uamuzi wake, japo mkuu yupo sahihi mara zote!
NAJUA HATA KWENYE VYEOO VYA JESHI HAO WAKOJUU KULIKO MH KANGISimtetei Andagenye wala Mr Kingu lakini nawasikitikia kuingizwa mkenge na lmtu Baki aliyetoka huko porini
Atakuwa ametumwa huyoNdo kakutuma?
Huyu mleta mada atakuwa Mpwa wa AndengenyeNimesoma kila kitu lakini sielewi chochote. Mwenye kudadavua kunipa mwongozo. Huyu mtu alifanya nini, hiyo mikopo, magari, drones, etc...
Hayo magari yana tatizo gani? Au yamepitwa na wakati?Romania wanatengenezwa magari ya zimamoto aina ya Magnus haya hapana, angalau zile scania za Masha zimedumu, pili hatuwezi ruhusu kila mtu akajichotea mkopo atakavyo, Kangi akope kununua fire extinguisher, Jaffo akope hela za kujenga stand, mwisho wa siku hazina wabebe madeni, tunakamatiwa ndege kilaziku bado mtu anaweka rehani serikali yetu, hapana
BHAABHA YEEEEH! π€‘ π€‘ π π π π π !Ila wasukuma ni washamba sana, anashangaa jeshi la zimamoto kununua drones.