OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,527
Kuna watu mna hila kuliko dada zenu. . . . . .We kama ni mwanaume basi utakuwa unatumiwa kisiasa
Wanaeleweka wamechoka kuwaingilia . . .mnapeda kufanyiana mambo ya matusi sana, huko nyuma hamkuwa hivo, wamejitahidi kuwaingilia lakini hamkomi sasa wamewaacha mchoshane kwanza halafu mtaingiliwa ugomvi ukikolea na BAN mtakula. . . .!!!!!Mods wa siku hz hawaeleweki mimi nakurudishia hapa hapa mbwa baba yako mzazi
Nakumbuka wakati nipo chuo kikuu mlimani mwaka wa pili mwaka 2003. Zito Kabwe na Halima Mdee walikuwa wanafanya kazi ya kuhamasisha Chama CHADEMA na kulipwa na MH. MBOWE. Tulialikwa pale Bilicanas kuhamasishwa kwa ajili ya kujiunga na chama na ndio wamepatikana leo wakina Mnyika na wengine wengi sana. Zito katokea mbali jamani mbowe ndio mlezi wake kisiasa. Ndio hivyo tena. Mbowe ni mtoto aliyezaliwa mjini posta kakulia posta na hela. Zito hawezi mwambia lolote kabisa.
Tunajua Mbowe ni mlezi wa Zitto kisiasa hilo halipingiki, na tunajua sana Mbowe kazaliwa mjini. Sasa mkuu unataka kushauri nini kwasababu umebaki tu kumsifia Mbowe na kutoa historia ambayo sisi haitusaidii kitu!
Huo ndio ukweli Lowasa alifadhili ACT akitegemea kuwa atapitishwa kugombea kupitia CCM na kwa kufanya hivyo ACT ingemrahisishia kwenye kampeni. Sasa wanaume wamebadilishia gia angani, Doh! ACT chali. N bado mengine yanakuja mtazidi kupotea kwenye ramani.
Nitakutafuta baada ya matokeo ya uchaguzi kutangazwa.Mtamjua DJ mwaka huu hadi li ccm lenu limwagike
Nia yangu ni kuwakumbusha ya kwamba unapomuona mwenzio ana upeo wa kufanya mambo nje ya uwezo wako wa kufikiri lazima umkubali na kutafakari ili uweze angalau kufanana nae kwa kuchangamdha bongo zaidi. Maana yake hutumii ubongo wako kutafakari zaidi nje ya upeo wa kawaida.
Nimesoma hii thread mara mbili-mbili, lakini sijaona mapigo yoyote zaidi ya taarabu ambayo mleta mada ameamua kutuletea!
Nitakutafuta baada ya matokeo ya uchaguzi kutangazwa.
Acha kujitoa ufahamu wewe kubwa zima unashindwa kutumia hata akili kidogo ya kujua mambo. Eti "Lowassa aliifadhili ACT..." Hivi haya maneno mnayolishwa huwa mnameza tu bila tu kumung'unya?
bora nipewe hata life ban kuliko kuona upuuzi wa aina hii ukiendelea kuwepo humu kutoka kwa mpuuzi kama wewe.Paw, Invisible na moderators wote siamini kama mimi ni mbwa lkn pia siamini kama JF members ni mbwa tena ni wapuuzi kama walivyoitwa na Abunuas nawaomba mod wote sheria ichukue mkondo wake
bora nipewe hata life ban kuliko kuona upuuzi wa aina hii ukiendelea kuwepo humu kutoka kwa mpuuzi kama wewe.
kwa kweli nachelea kukufananisha na mbwa.
mara mtuambie zitto alikuwa anafadhiliwa na Lowasa, sasa lowasa yuko chadema hamsemi tena.
siku zote mmekuwa mkiimba mafisadi akina lowasa halafu leo amekuwa mtakatifu.
then unakuja na pumba zingine hapa. na sisi ni walewale mnaotuambia. mnafikirir sisi ni mazuzu? wewe ni mpuuzi, nenda kawaambie na hao mbwa wenzako kuwa nao ni wapuuzi.
Hilo la pili ni pigo kwenu chadema wanafiki kila siku mlikuwa mnapiga kelele kuwa ACT inafadhiliwa na Lowassa/CCM..Kumbe mlikuwa mnamtolea macho...sasahivi mbona hamuongei kitu...wanafiki nyie acheni porojo
Nilikua nina imani kubwa sana na CDM, lakini kwa ufedhuli walionionesha jana namuona ZZK ni mtakatifu mno...
Mkuu unatisha kwa kutoa povu, pole! Ila hakuna jinsi, tulia tu sindano inyong'onyee vizuri! Kushabikia Magamba ni kujitafutia ugonjwa wa moyo!
mawazo ya mbwa siko zote yanafikiria utashi wa mwili kama kula. kunya na hujamiiana. Mbwa hawezi kufikiria vitu vingine tofauti na utashi wa mwili. niko sahihi kabisa kukuita hivyo. usisahau kuwaambia na hao mbwa wenzako.Ok mkuu ngoja nikupe haki yako ya gay rights maana nahisi mods wanaogopa kukupiga ban utawasemea kwa Obama.
Kudos Gay Abunuas