Mapigano makali yaendelea Mogadishu

Mapigano makali yaendelea Mogadishu

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
58,042
Reaction score
134,331
150420095041_somalia_640x360_epa.jpg

Mapigano makubwa yameripotiwa kwenye mji kuu wa Somalia Mogadishu baada ya shambulizi la gari la kujitoa mhanga kutokea karibu na makao makuu ya idara ya ujasusi ya nchi hiyo.

Maafisa nchini Somalia wanasema kuwa wapiganaji kutoka kundi la al-Shabab waliingia jengo lililo karibu na makao hayo makuu ya ujasusi, na kukana madai ya al-Shabab kuwa waliingia makao ya ujasusi yenyewe.

Hakuna ripoti zozote zilizotolewa za watu kuuawa au kujeruhiwa

Al-Shabab wameapa kuongeza mashambulzii dhidi ya serikali ya Somalia wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadan ambao ulianza siku ya Jumatano.

CHANZO: BBC

 
Hii sasa balaa yaani hawajali cha mwezi Mtukufu wala nini Mwendo uleule
 
Al shabbaab wanaamini kwamba ukiua watu wengi sana wakati wa ramadhani unaandaliwa mabikra wengi zaidi ahera. Halafu ukiua na wewe ukafa katika shambulio utakua na uhakika wa kupata wanawake mia. sabini wakiwa mabikra. Ukiua wazee, wanawake na watoto wasio na hatia hapo utapata mabikra sabini, wanawake wakawaida kumi na wasseenggeh saba
 
Tena wamesema wameongeza kwa sababu ya mwezi huu

Hii habari umeitoa kwenye mgahawa upi?

Vijana acheni kupenda kunywa kahawa mitaani. Mtaarika mapema.
Jamii bado inawahitaji.
 
Haaaa...imagine hapo ndio wamevamia makao makuu ya kijasusi ya Somalia..na kupiga... ndio ujue Al shabab kitu kingine... wamepiga ktk MOYO wa intelijensia ya nchi ya Somalia.. hawa hapanaaa..!!!
 
Jamani ndugu zetu huangamia kwa kukosa maarifa.wamkubali Bw wa Amani YESU KRISTO ahubiriwe Somalia.

Yesu anasema ktk mathayo 10:34.

34 Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga.-

Na pia akahimiza ktk
LUKA 22:36 kuwa ...naye asiye na upanga, na auze joho yake akanunue.-

Sasa Unataka akahubiriwe mleta UPANGA sehemu yenye vita?

We ndo mtu mbaya sana km yule myahudi mweusi Echolima.
 
Last edited by a moderator:
Yesu anasema ktk mathayo 10:34.

34 Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga.-

Na pia akahimiza ktk
LUKA 22:36 kuwa ...naye asiye na upanga, na auze joho yake akanunue.-

Sasa Unataka akahubiriwe mleta UPANGA sehemu yenye vita?

We ndo mtu mbaya sana km yule myahudi mweusi Echolima.

وَلَا تَقُولُوا لِمَا تَصِفُ أَلْسِنَتُكُمُ الْكَذِبَ هَٰذَا حَلَالٌ وَهَٰذَا حَرَامٌ لِّتَفْتَرُوا عَلَى اللَّهِ الْكَذِبَ ۚ إِنَّ الَّذِينَ يَفْتَرُونَ عَلَى اللَّهِ الْكَذِبَ لَا يُفْلِحُونَ

kahtaan Biblia huiwezi wewe unaisoma kama gazeti la MZALENDO!!!! unaashangaza sana hasa hasa kwenye mwezi mtukufu kama huu mimi nimekupa aya hii ukajisomee kwa siku ya leo harafu uniambie iko sura gani na aya gani lakini nina uhakika hata kiarabu hujui maana toka lini mmatumbi kama wewe kujua kiarabu?????ninyi ndo mnaouharibu uislamu.
 
Last edited by a moderator:
وَلَا تَقُولُوا لِمَا تَصِفُ أَلْسِنَتُكُمُ الْكَذِبَ هَٰذَا حَلَالٌ وَهَٰذَا حَرَامٌ لِّتَفْتَرُوا عَلَى اللَّهِ الْكَذِبَ ۚ إِنَّ الَّذِينَ يَفْتَرُونَ عَلَى اللَّهِ الْكَذِبَ لَا يُفْلِحُونَ

kahtaan Biblia huiwezi wewe unaisoma kama gazeti la MZALENDO!!!! unaashangaza sana hasa hasa kwenye mwezi mtukufu kama huu mimi nimekupa aya hii ukajisomee kwa siku ya leo harafu uniambie iko sura gani na aya gani lakini nina uhakika hata kiarabu hujui maana toka lini mmatumbi kama wewe kujua kiarabu?????ninyi ndo mnaouharibu uislamu.

Hii aya inawahusu wale makafiri wanaosema Uongo juu ya MwenyeziMungu.
Wale wenye kusema Yafuatayo.

يَا أَهْلَ الْكِتَابِ لَا تَغْلُوا فِي دِينِكُمْ وَلَا تَقُولُوا عَلَى اللَّهِ إِلَّا الْحَقَّ ۚ إِنَّمَا الْمَسِيحُ عِيسَى ابْنُ مَرْيَمَ رَسُولُ اللَّهِ وَكَلِمَتُهُ أَلْقَاهَا إِلَىٰ مَرْيَمَ وَرُوحٌ مِنْهُ ۖ فَآمِنُوا بِاللَّهِ وَرُسُلِهِ ۖ وَلَا تَقُولُوا ثَلَاثَةٌ ۚ انْتَهُوا خَيْرًا لَكُمْ ۚ إِنَّمَا اللَّهُ إِلَٰهٌ وَاحِدٌ ۖ سُبْحَانَهُ أَنْ يَكُونَ لَهُ وَلَدٌ ۘ لَهُ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَمَا فِي الْأَرْضِ ۗ وَكَفَىٰ بِاللَّهِ وَكِيلًا

Enyi Watu wa Kitabu! Msipite kiasi katika dini yenu, wala msimseme Mwenyezi Mungu ila kwa lilio kweli. Hakika Masihi Isa mwana wa Maryamu ni Mtume wa Mwenyezi Mungu, na neno lake tu alilo mpelekea Maryamu, na ni roho iliyo toka kwake. Basi Muaminini Mwenyezi Mungu na Mitume wake. Wala msiseme: Utatu. Komeni! Itakuwa kheri kwenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mungu mmoja tu. Ametukuka Yeye na kuwa na mwana. Ni vyake Yeye vyote viliomo katika mbingu na katika ardhi. Na Mwenyezi Mungu ni Mtegemewa wa kutosha.

Na pia

لَقَدْ كَفَرَ الَّذِينَ قَالُوا إِنَّ اللَّهَ هُوَ الْمَسِيحُ ابْنُ مَرْيَمَ ۚ قُلْ فَمَنْ يَمْلِكُ مِنَ اللَّهِ شَيْئًا إِنْ أَرَادَ أَنْ يُهْلِكَ الْمَسِيحَ ابْنَ مَرْيَمَ وَأُمَّهُ وَمَنْ فِي الْأَرْضِ جَمِيعًا ۗ وَلِلَّهِ مُلْكُ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَمَا بَيْنَهُمَا ۚ يَخْلُقُ مَا يَشَاءُ ۚ وَاللَّهُ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ

Hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni Masihi mwana wa Maryamu. Sema: Ni nani mwenye kumiliki cho chote mbele ya Mwenyezi Mungu ikiwa Yeye angetaka kumuangamiza Masihi mwana wa Maryamu, na mama yake, na wote waliomo katika ardhi? Na mamlaka ya mbingu na ardhi na vilivyomo ndani yake ni vya Mwenyezi Mungu. Huumba apendavyo. Na Mwenyezi Mungu anao uweza juu ya kila kitu.

Na Mwenyezimungu analizia kwa kusema.

لَقَدْ كَفَرَ الَّذِينَ قَالُوا إِنَّ اللَّهَ ثَالِثُ ثَلَاثَةٍ ۘ وَمَا مِنْ إِلَٰهٍ إِلَّا إِلَٰهٌ وَاحِدٌ ۚ وَإِنْ لَمْ يَنْتَهُوا عَمَّا يَقُولُونَ لَيَمَسَّنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا مِنْهُمْ عَذَابٌ أَلِيمٌ

Kwa hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni wa tatu wa Utatu. Hali hakuna mungu ila Mungu Mmoja. Na ikiwa hawaachi hayo wanayo yasema, kwa yakini itawakamata adhabu chungu wale wanao kufuru.

Hakika amesema Kweli Mwenyezimungu.
Na Laana iwadondokee MAKAFIRI.
Echolima Sema Amiin km wewe sio Mmoja wao.
 
Last edited by a moderator:
kahtaan acha ku-copy na ku-paste mimi nimekuambia uniambie hiyo aya iko sura ngapi na aya ya ngapi,acha kuruka-ruka huu ni mwezi wa Ramadhani kama hujui mwulize jirani yako akusaidie.
Hii aya inawahusu wale makafiri wanaosema Uongo juu ya MwenyeziMungu.
Wale wenye kusema Yafuatayo.

يَا أَهْلَ الْكِتَابِ لَا تَغْلُوا فِي دِينِكُمْ وَلَا تَقُولُوا عَلَى اللَّهِ إِلَّا الْحَقَّ ۚ إِنَّمَا الْمَسِيحُ عِيسَى ابْنُ مَرْيَمَ رَسُولُ اللَّهِ وَكَلِمَتُهُ أَلْقَاهَا إِلَىٰ مَرْيَمَ وَرُوحٌ مِنْهُ ۖ فَآمِنُوا بِاللَّهِ وَرُسُلِهِ ۖ وَلَا تَقُولُوا ثَلَاثَةٌ ۚ انْتَهُوا خَيْرًا لَكُمْ ۚ إِنَّمَا اللَّهُ إِلَٰهٌ وَاحِدٌ ۖ سُبْحَانَهُ أَنْ يَكُونَ لَهُ وَلَدٌ ۘ لَهُ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَمَا فِي الْأَرْضِ ۗ وَكَفَىٰ بِاللَّهِ وَكِيلًا

Enyi Watu wa Kitabu! Msipite kiasi katika dini yenu, wala msimseme Mwenyezi Mungu ila kwa lilio kweli. Hakika Masihi Isa mwana wa Maryamu ni Mtume wa Mwenyezi Mungu, na neno lake tu alilo mpelekea Maryamu, na ni roho iliyo toka kwake. Basi Muaminini Mwenyezi Mungu na Mitume wake. Wala msiseme: Utatu. Komeni! Itakuwa kheri kwenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mungu mmoja tu. Ametukuka Yeye na kuwa na mwana. Ni vyake Yeye vyote viliomo katika mbingu na katika ardhi. Na Mwenyezi Mungu ni Mtegemewa wa kutosha.

Na pia

لَقَدْ كَفَرَ الَّذِينَ قَالُوا إِنَّ اللَّهَ هُوَ الْمَسِيحُ ابْنُ مَرْيَمَ ۚ قُلْ فَمَنْ يَمْلِكُ مِنَ اللَّهِ شَيْئًا إِنْ أَرَادَ أَنْ يُهْلِكَ الْمَسِيحَ ابْنَ مَرْيَمَ وَأُمَّهُ وَمَنْ فِي الْأَرْضِ جَمِيعًا ۗ وَلِلَّهِ مُلْكُ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَمَا بَيْنَهُمَا ۚ يَخْلُقُ مَا يَشَاءُ ۚ وَاللَّهُ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ

Hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni Masihi mwana wa Maryamu. Sema: Ni nani mwenye kumiliki cho chote mbele ya Mwenyezi Mungu ikiwa Yeye angetaka kumuangamiza Masihi mwana wa Maryamu, na mama yake, na wote waliomo katika ardhi? Na mamlaka ya mbingu na ardhi na vilivyomo ndani yake ni vya Mwenyezi Mungu. Huumba apendavyo. Na Mwenyezi Mungu anao uweza juu ya kila kitu.

Na Mwenyezimungu analizia kwa kusema.

لَقَدْ كَفَرَ الَّذِينَ قَالُوا إِنَّ اللَّهَ ثَالِثُ ثَلَاثَةٍ ۘ وَمَا مِنْ إِلَٰهٍ إِلَّا إِلَٰهٌ وَاحِدٌ ۚ وَإِنْ لَمْ يَنْتَهُوا عَمَّا يَقُولُونَ لَيَمَسَّنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا مِنْهُمْ عَذَابٌ أَلِيمٌ

Kwa hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni wa tatu wa Utatu. Hali hakuna mungu ila Mungu Mmoja. Na ikiwa hawaachi hayo wanayo yasema, kwa yakini itawakamata adhabu chungu wale wanao kufuru.

Hakika amesema Kweli Mwenyezimungu.
Na Laana iwadondokee MAKAFIRI.
Echolima Sema Amiin km wewe sio Mmoja wao.
 
Last edited by a moderator:
kahtaan acha ku-copy na ku-paste mimi nimekuambia uniambie hiyo aya iko sura ngapi na aya ya ngapi,acha kuruka-ruka huu ni mwezi wa Ramadhani kama hujui mwulize jirani yako akusaidie.

Umeshindwa kuitikia amiin.

Hii inamaanisha na wewe ni miongoni mwao.

Subiri adhabu ya Mungu ikudondokee.
 
Last edited by a moderator:
MMATUMBI kahtaan umeshindwa kujua hiyo aya iko wapi????nilijua tu utachemsha maana wewe ni miongoni mwa watu wanaofuta dini hiyo kwa MKUMBO bila hata kujua chimbuko lake.
Umeshindwa kuitikia amiin.

Hii inamaanisha na wewe ni miongoni mwao.

Subiri adhabu ya Mungu ikudondokee.
 
Last edited by a moderator:
MMATUMBI kahtaan umeshindwa kujua hiyo aya iko wapi????nilijua tu utachemsha maana wewe ni miongoni mwa watu wanaofuta dini hiyo kwa MKUMBO bila hata kujua chimbuko lake.

Kijana Uwezo wako wa Kujadili na mimi ni mdogo sana.

Unauliza maswali km Mtoto wa darasa la Tatu.

Sasa nikisha kuandikia Hio namba ya Aya ndiko kunaonyesha kuwa mimi ndio Muislamu Bora au?

Mbona Nyie wagalatia hamsongi mbele?

Haya nakutajia sasa.

NI SURATU AL -NAHL
16:116.
Juzuu ya 14.

Sasa hapa Umejiona Utoto wako?
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli kabisa Imani hii imekuwa ni JANGA la KITAIFA mpaka imefikia ukimwona mtu wa aina furani amepita unasikia harufu ya UGAIDI kabisa,Mpaka sasa hivi dunia si salama kwa ajili ya hawa watu.
Al shaabab sio tatizo...tatizo ni Imani.
 
Mpaka nikuambie uulize jirani yako ndiyo upate jibu!!! Mshukuru sana Zanzibar Spices amekufundisha leo ulikuwa unaaibika hadharani,Na hii ni dhibitisho tosha wewe Uislam umeiga tu toka kwa waarabu wale wa pale Majimoto karibu na kwa MSUGULE.
Kijana Uwezo wako wa Kujadili na mimi ni mdogo sana.

Unauliza maswali km Mtoto wa darasa la Tatu.

Sasa nikisha kuandikia Hio namba ya Aya ndiko kunaonyesha kuwa mimi ndio Muislamu Bora au?

Mbona Nyie wagalatia hamsongi mbele?

Haya nakutajia sasa.

NI SURATU AL -NAHL
16:116.
Juzuu ya 14.

Sasa hapa Umejiona Utoto wako?
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli kabisa Imani hii imekuwa ni JANGA la KITAIFA mpaka imefikia ukimwona mtu wa aina furani amepita unasikia harufu ya UGAIDI kabisa,Mpaka sasa hivi dunia si salama kwa ajili ya hawa watu.

Crusader walikunywa damu ya Watoto wakati wanachinja wasio na hatia kwa jina la yesu.

Juzi Mkristo mweupe KAUA Waafrika weusi km mimi na wewe huko Amerika NDANI YA KANISA akidai kuwa WAAFRIKA Ni wanyama warudi kwao porini.

Leo wewe unawakumbatia Wazungu Tu kwa Sababu wamekuwekea Picha Yao Ndanj ya Kanisa Uipigie Goti na Kuiomba Msaada.

Kweli Wajinga Wali wao.
 
Back
Top Bottom