Mapenzi yanaumiza sana

Hakufahi achana nae na usidhubutu kutoa nafasi kwan wakati anakutamkia kuwa hakufeel alikuwa anafikiria nini, songa mbele na huyo mwenzi wako ulienae na uwe makini wasije kukuharibia
 
Sijui muda wa kuwasikiliza wakimponda mtu wako unaupata wapi, inaonekana unawaachia mwanya hadi wa kujadili maisha yako mtu wangu usipokua makini utaangukia pua.
sio kwamba nawapa muda wa kumponda ilikuwa katika mazungmzo wakaanza kusema niliye naye hanifai nikawavulia uvivu nikawaambia asingekuwa ananifaa nisingekuwa naye
 
Ukiona misunderstandings zinakuwa nyingi ktk mapenz yako achana na hayo mahusiano, UTAUMIA!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom