Mapenzi yanauma

Dili na huyo huyo jimama wote si wana mbususu!!
kwani ya nani ni tamu !?
 
Huu muandiko wa mtu wa kijijini.
 
Huo ndio ubatizo wa Moto kaa chonjo
 
Nahapa vilevile bdo hujakua umeshindwa ku move on,jinga kabisa ww na uliempenda kasoro jimama.
 
Hahaaa We unaonekana ndo umeanza mapenzi..hayo ndo mapenzi we unajua kabisa hakupendi na anaekupenda humpendi hzo gharama potezea tulizana tu no way out utajapenda mwingn inshallah
 
Ngoja nikamsaidie tu waifu kuandaa daku
 
Tosing a coin

Mkuu bora umejua hakupendi
Kuna wengine wameishi miaka anakuja kugundua mwanamke hampendagi watoto sio wake

Mkuu acha utoto bas kuwa serious
 

Kikao cha wanaume pale CHUMBAGENi wakishirikiana na CHAPUTA walisema..
"Ukiona ghafla unahisi umemiss mpenzi wako au unahisi kumpenda saaana,,, anza na kupiga nyeto kwanza.... Huwenda hzo zikawa ni nyegee tu zinakusumbua"

Mleta uzi nawasilisha...
 
Wakwengwe tunakushauri hiviii
Tuliza wenge kama unataka vitu vyako nenda taratbu utapata
But unamuda wa mishale ming bado
 
Mambo ya kupendana yapo kwenye tamthilia za kifilipino na kikorea.

Sasa jifanye Harmonize kuwa unajua kupenda sana uje kuwa chizi.

Siku hizi kupendwa au kuchukiwa kunaamuliwa na mfuko wako. Ukituma miamala ya kutosha utanyonywa mpaka kwapa ila ukijifanya unatuma mashairi ya nyimbo za Zuchu kwenye msg kila siku utakuwa unaachwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…