Mapenzi yanauma sana

Pole sana Mkuu

Nafeel jinsi unavyofeel right now.

Hali kama hiyo imeshatutokea wengi tu, we we si wakwanza. Lakini ujue kuwa yawezekana Mungu amekuepusha na matatizo ambayo ungeyapata kama ungekuwa nae kimahusiano.

Jipe moyo utampata mwingine mzuri zaidi na utamsahau huyo.
 
Asante sana mkuu at least comment yako inafariji maana wengine wanachojua wao ni crash
 
Allen mzembe..Hakukumbuka kuchukua hata namba..
 
Allen mzembe..Hakukumbuka kuchukua hata namba..


Aahahahhahaaa alikuwa mkatoliki safi sana, alipata mafunzo ya seminarini ila baada ya kumaliza chuo anasema alikuwa player mno sababu ni mimi kumkataa.

Hakuchukua namba sababu bado alikuwa ananipenda na hakutaka kuniumiza maana wakati huo alishakubuhu kwenye u player kiasi kwamba anakanyaga kanyaga....

Ni wanaume wachache sana wanajali...
 
baharia unafeli kimisingi..... mbona sie tumekataliwa sana we kwani wa kwanza...afu mwanaume kuchukia huo ni upimbi
 
Uchungu mkubwa kuzidi aliopata akiwa chuo. Ulitumia mizani gani mkuu kujua wako ulikuwa mkubwa kuzidi wake kipindi cha chuo?
 
Uchungu mkubwa kuzidi aliopata akiwa chuo. Ulitumia mizani gani mkuu kujua wako ulikuwa mkubwa kuzidi wake kipindi cha chuo?

Tuliongea mambo mengi sana sijayaelezea hapa, alifungika vitu vingi sana ambavyo akiwa chuo hakuniambia. Niliupata uchungu wake kwenye mazungumzo ya siku hiyo na baadae ya hapo uzito na maumivu niliyoyasikia naona aliyopitia yeye wakati ananitongoza ilikuwa cha mtoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…