Applicant
JF-Expert Member
- Feb 12, 2020
- 1,962
- 1,746
Kiukweli kuna jamaa mmoja hapa jirani yangu anateswa sana na mkewake, anapigwa sana kama mtoto lakini hawezi kumuacha huyo mwanamke.
Kuna siku alimuuliza mke wake kua anaenda wapi, halafu ilikua mbele za watu, aisee jamaa alichezea makofi kama mwizi, nguo anafua, vyombo anaosha, jamaa anahitaji msaada.
Kuna story hapa mtaani kua huyo mwanamke alimchanganyia dawa kwenye maji aliofulia chupi, yaani maji yale baada ya kukamua chupi akayamix na dawa za kienyeji ndio maana jamaa hafurukuti.
Kuna wazee hapa mtaani wanasema hakuna limbwata baya kama lakuchanganya na maji yaliofulia nguo ya ndani. Huyo mwanamke kamfanyia jamaa ukatili sana, yani mshkaji kawa mzalendo kwa mkewake kupitiliza, kawa kama zezeta.
Tuwe makini wakuu.
Kuna siku alimuuliza mke wake kua anaenda wapi, halafu ilikua mbele za watu, aisee jamaa alichezea makofi kama mwizi, nguo anafua, vyombo anaosha, jamaa anahitaji msaada.
Kuna story hapa mtaani kua huyo mwanamke alimchanganyia dawa kwenye maji aliofulia chupi, yaani maji yale baada ya kukamua chupi akayamix na dawa za kienyeji ndio maana jamaa hafurukuti.
Kuna wazee hapa mtaani wanasema hakuna limbwata baya kama lakuchanganya na maji yaliofulia nguo ya ndani. Huyo mwanamke kamfanyia jamaa ukatili sana, yani mshkaji kawa mzalendo kwa mkewake kupitiliza, kawa kama zezeta.
Tuwe makini wakuu.