Jamani wana janvi.. Hivi Karbun nlianza kutia shaka nyendo za mpnz wangu ambae ni mwanachuo wa chuo fulani maarufu tu hapa nchini... Katika kutaka kujiridhisha na doubts zangu nikaandaa mtego simple tu.
Ishu ilikuwa hivi, Kwa Siku za Karbun amekuwa akidai ana msululu wa test kias kwamba anahtaji break kidogo.. apate mda kidogo wa kujisomea zaid na marafiki zake.. (group discussion) mi hewala bhana Ckuwa na kinyongo as long as mbibie anatafta GPA Kali bhas Kher..
Japokuwa hapo mwanzoni haikuwa hivyo..
Ili kujiridhisha na kinachoendelea niliamua Kupachika kinasa sauti Chumban kwake ki Intelligencia Ili kubaini hizo discussion anazofanya na rafik zake kias cha mimi kutomjulia hali ni zipi..
Baada ya kuwa nmepachika kifaa hicho nilijipa one week then leo Cku ya mapumziko Nmeenda kwake kumsabahi na kukichukua kifaa hicho.
Niliyokutana nayo wandugu ni hatari
Ni binti kachezeshwa Gwaride la kiutu uzima.. Na dalili zote za mchezo haramu..
Najarbu kutupia kipande cha recordings nashindwa..
Ila kiufupi.. Huyu mpenz mwana zuoni amenshinda tabia..
NB.. Mwenye kuweza kunielekeza namna ya kuapload audio anielekez Ili niweze kuleta Japo kipande kimoja cha recordings hizo.