pastor muyamba
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 252
- 135
I'm not pastor ,lisikuchanganye jina LA pastor ,ni msela tuSasa pastor umeshindwa waumini si ndio ngumu
Habari za muda huu ndugu,
Sikuwahi kufikiria kutoka nje ya ndoa yangu,lakini baada ya kukaa muda mrefu bila mtoto niliamua kutoka.
Sasa nashindwa kutulia na mke wa ndani japo huyu wa ndani tayari ana mtoto.
Pia huko nje wapo wawili na mimba tatu,sasa nashindwa kutulia tamaa zinazidi ,kuwaka,
Njooni wanaume wenzangu mnipe mbinu ya kuachana na hili jambo.Nawatakia kazi njema.
Kuna dhambi za kulipia eh
Target yangu ni watoto 12 sasa wakatoe utam ili iwajeNenda muhimbili wakanyofoe korodani zako utatulia
Kuna mtaalamu lifecoded anasema umshindwa kufuata sheria ya the law of gratitude sasa subiri ulimwengu uje kukunyang'anya usichokithamini alafu ukutane na karma..hapa kuna the law of cause and effect unapanda ulichokivuna..
Una kazi ya kujitakasa kwanza la sivyo hutasonga mbele
kuna mbinu gani zaidi ya kuacha ?Habari za muda huu ndugu,
Sikuwahi kufikiria kutoka nje ya ndoa yangu,lakini baada ya kukaa muda mrefu bila mtoto niliamua kutoka.
Sasa nashindwa kutulia na mke wa ndani japo huyu wa ndani tayari ana mtoto.
Pia huko nje wapo wawili na mimba tatu,sasa nashindwa kutulia tamaa zinazidi ,kuwaka,
Njooni wanaume wenzangu mnipe mbinu ya kuachana na hili jambo.Nawatakia kazi njema.
Unaanzaje kuacha wakati watoto ulionao hawatoshi ?Habari za muda huu ndugu,
Sikuwahi kufikiria kutoka nje ya ndoa yangu,lakini baada ya kukaa muda mrefu bila mtoto niliamua kutoka.
Sasa nashindwa kutulia na mke wa ndani japo huyu wa ndani tayari ana mtoto.
Pia huko nje wapo wawili na mimba tatu,sasa nashindwa kutulia tamaa zinazidi ,kuwaka,
Njooni wanaume wenzangu mnipe mbinu ya kuachana na hili jambo.Nawatakia kazi njema.
ita jina la Yesu, ilo ni pepo la ng'ono!Habari za muda huu ndugu,
Sikuwahi kufikiria kutoka nje ya ndoa yangu,lakini baada ya kukaa muda mrefu bila mtoto niliamua kutoka.
Sasa nashindwa kutulia na mke wa ndani japo huyu wa ndani tayari ana mtoto.
Pia huko nje wapo wawili na mimba tatu,sasa nashindwa kutulia tamaa zinazidi ,kuwaka,
Njooni wanaume wenzangu mnipe mbinu ya kuachana na hili jambo.Nawatakia kazi njema.