Ndio nilimwchia yeye kwa sababu maelekezo yote yalikua yanamhusu yeye 100%
mnhhh...hapo nilipo-bold naona kama umekosea vile...upepo upitao ni uleeee wa kisiasa hizi pepo zingine hazipiti hivihivi bila kufanyiwa kazi ya ziada.
Nakumbuka shule nilisoma newton laws of motion ipo moja inasema a body will remain at its state of rest until external force is applied...
Huyu bwana bila ku-apply external force sioni anavyobadilika toka hiyo state of rest and worse enough soon atakuwa mariooo baloteli na mama akishaanza kazi baada ya maternity leave ndo jamaa atakuja na thread ya kulalamikia "mfumo jike" hapa jf.
naomba tumsaidie "baba fulani" hapo alipo keshaingiza hadi gea ya foowili naona gari linazidi kuzama.
maji yeshamwagika... Na kifupi jamaa anahitaji kazi ili aweze kujikimu kwa maisha yake mapya na magumu kwa sasa... Tafadhali tuhjuze yafuatayo:-
1- elimu na utaalamu wako ni katika fani gani plus experience uliyonayo
2- a minimum starting salary unayodhani kidoogo inaweza kukuweka mjini ni kiasi gani
wadau naomba huyu "baba asiyejiandaa" asaidiwe kupata ajira kwa haraka sana maana mtoto ndo huyo na kodi ya pango alopanga masaki inakaribia kwisha.
jf= home of greatest thinkers
Ndio mana akabase upande wa jinsia yake, Nshakusoma Matola. Eti tumeenda mpaka Ushauri wa uzaz wa mpango,akaelekezwa jinc ya kujikinga lakini mwenzangu akabeba mimba, sio kutegesheana huku?
Kumbuka ni ndugu yangu alonitapeli nilimwamini asilimia 100, afu mkataba wa kaz unaniambia nitoe notice ya mwez mmoja kabla ya kuacha.