Mapenzi ya kujionesha mnapendana

Mapenzi ya kujionesha mnapendana

Wakuu salaam!
Kwa tamaduni zetu za kiafrika asee hii wanaume wengi wenye rangi ya lami inatupa tabu sana.

Sasa Kuna kajamaa kamehamia mtaani kwetu ukweli kajamaa kanatucholesha sana kwani kana tabia njema na heshima kwa wakubwa sio kalevi .

Katika pita pita Kakamkamatia penzini kicheche mtaa wa saloon ,tatizo jinsi kanavyojua kujionesha kanatembea kamemshikia pochi na mkono barabarani ,hakana muda na wanaume wenzie kila saa na kademu kake.
Kwenye birthday yake mwanzo wa mwaka kalishusha bonge la part na surprise ya I phone 7 ooh come ooon,halafu mara kamlishe mara kamfute jashoo cheeefuuu.Tulitabiri hii makitu huwa hazidumu ahh asee dogo kaamua kutuprove wrong ,this guy must be from alien world.

Wakuu hii sio itamfanya dogo aje jiua maana kalilea vizuri Toto limenona balaa .
Subiri kwanza,huyu alieandika chefuuuu ni mwanaume au mwanamke?
 
weka Picha basi ya hako kamanzi ka saloon

na sisi tuthaminishe ukute sisi tutakapiku kajamaa kwa kutoa IphoneX
 
Mm kuna mdada nilimpenda sn humu baada ya kuona atanizuzua nimeamua kujiweka mbali
 
hahaaa kawanyoosha kweli kweli" mamaee",wambea wote macho yamewatoka Kama mjusi kabanwa na mlango"... mlidhani jamaa ataachana na manzi wake lakini wapi" ndio kwanza kama coca cola imetikiswa hivi halafu ikafunguliwa kisoda
Tunapata tabu sana lakin tusikate tamaa ,ila akimuacha tu huyu demu ,nakamata nakaoa
 
Back
Top Bottom