Mapenzi ya kujionesha mnapendana

Mapenzi ya kujionesha mnapendana

The only

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2011
Posts
11,083
Reaction score
14,565
Wakuu salaam!
Kwa tamaduni zetu za kiafrika asee hii wanaume wengi wenye rangi ya lami inatupa tabu sana.

Sasa Kuna kajamaa kamehamia mtaani kwetu ukweli kajamaa kanatucholesha sana kwani kana tabia njema na heshima kwa wakubwa sio kalevi .

Katika pita pita Kakamkamatia penzini kicheche mtaa wa saloon ,tatizo jinsi kanavyojua kujionesha kanatembea kamemshikia pochi na mkono barabarani ,hakana muda na wanaume wenzie kila saa na kademu kake.
Kwenye birthday yake mwanzo wa mwaka kalishusha bonge la part na surprise ya I phone 7 ooh come ooon,halafu mara kamlishe mara kamfute jashoo cheeefuuu.Tulitabiri hii makitu huwa hazidumu ahh asee dogo kaamua kutuprove wrong ,this guy must be from alien world.

Wakuu hii sio itamfanya dogo aje jiua maana kalilea vizuri Toto limenona balaa .
 
aisee hii inaendelea kuprove kua mwanadam hatakaa amfarahishe kila mtu.

Mimi naona ,Kajamaa kaendelee zake tu na nyie wana muendelee zenu.

Maana mkisema msubiri kajamaa kaachane nadem mtasoma namba sana,.

Mara nyingi watu wenyr mapenzi ya hivo, huwa wanaaamin ktk ' one to one ' ndo maana haoni haja kujicholeshaa.

Sema wanakujaga kuumia ,baada ya kuwekeza saaaana, kuwaaminisha jamii kua yuko nademu, alafu demu anakuja kumpiga chinihapo kama hauna "Moyo kama wangu" ...Unaweza kujinyonga!!!
 
Mkuu kumbe mnaniombeaga mabaya et eeeh mimi na manzi wangu.....Hiyo ni trailer tu picha linakuja mkuu
 
Mkuu kumbe mnaniombeaga mabaya et eeeh mimi na manzi wangu.....Hiyo ni trailer tu picha linakuja mkuu
Inabidi sasa uwazidishie mbwembwe

I swear, hata mademu wao watajikuta wanataman wawe nawewe

"Kama ni mjanja unayejua akili za wanawake, utakua umenielewa"
 
"Kujichoresha" kuwa makini na unachoandika siku nyingine unaweza kutuandikia tusi hapa
Hahaha nilichokipenda mpaka hapa, naona nmefanikiwa kukulazimisha usome na kufatilia kila andiko langu

Ungekua mwanamke, nimeshakutongoza maana unaonyesha kila Sign anazoonyesha mwanamke anapokua kampenda mwanaume.

Moja wapo niilo, anakua Attention sana kufatilia kila neno na analisikiliza au kulisoma kwa umakini sana !!
 
Hahaha nilichokipenda mpaka hapa, naona nmefanikiwa kukulazimisha usome na kufatilia kila andiko langu

Ungekua mwanamke, nimeshakutongoza maana unaonyesha kila Sign anazoonyesha mwanamke anapokua kampenda mwanaume.

Moja wapo niilo, anakua Attention sana kufatilia kila neno na analisikiliza au kulisoma kwa umakini sana !!
Jifunze Kiswahili basi, Nashindwa kusoma hata madudu yako haya!
 
Wakuu salaam!
Kwa tamaduni zetu za kiafrika asee hii wanaume wengi wenye rangi ya lami inatupa tabu sana.

Sasa Kuna kajamaa kamehamia mtaani kwetu ukweli kajamaa kanatucholesha sana kwani kana tabia njema na heshima kwa wakubwa sio kalevi .

Katika pita pita Kakamkamatia penzini kicheche mtaa wa saloon ,tatizo jinsi kanavyojua kujionesha kanatembea kamemshikia pochi na mkono barabarani ,hakana muda na wanaume wenzie kila saa na kademu kake.
Kwenye birthday yake mwanzo wa mwaka kalishusha bonge la part na surprise ya I phone 7 ooh come ooon,halafu mara kamlishe mara kamfute jashoo cheeefuuu.Tulitabiri hii makitu huwa hazidumu ahh asee dogo kaamua kutuprove wrong ,this guy must be from alien world.

Wakuu hii sio itamfanya dogo aje jiua maana kalilea vizuri Toto limenona balaa .
hahaaa kawanyoosha kweli kweli" mamaee",wambea wote macho yamewatoka Kama mjusi kabanwa na mlango"... mlidhani jamaa ataachana na manzi wake lakini wapi" ndio kwanza kama coca cola imetikiswa hivi halafu ikafunguliwa kisoda
 
Back
Top Bottom