Bishanga hii stori inaendana kabisa na mfano wa mbwa mkali. Mbwa ni kiumbe rafiki hata akiwa mkali na unapoanza kumuogopa basi mkimbie moja kwa moja lakini unajidai kumfanyia wema huku ukiwa mbali nae? Kama msichana anataka kupenda kwa nini apende akiwa mbali asimpende mtu wakati akiwa karibu nae? After all mapenzi ni ukuruba!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.