Mapenzi ya Chuoni kizungumkuti...

Ahsante kwa experience yako. IMO hakuna ukweli.
Ninachofahamu kuna wengi tu walikuwa classmates na wakawa wapenzi na wakaishia kuoana hata baada ya campus life.
Vile vile kuna walioishia kuoa KCC wao.
Hakuna formula kwenye mapenzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…