Kipi bora upate mke msafii anaejua kusafisha nyumba na kutunza mazingira lakini kitandani mvivu,au upate mke mtundu kitandani 100% na anajua kupika balaa ila linapokuja suala la usafi ni 0 hajui hajui kutandika kitanda wala kudeki nyumba.....
Kipi bora upate mke msafii anaejua kusafisha nyumba na kutunza mazingira lakini kitandani mvivu,au upate mke mtundu kitandani 100% na anajua kupika balaa ila linapokuja suala la usafi ni 0 hajui hajui kutandika kitanda wala kudeki nyumba.....
Hili huwa linafunika mabaya yote, hata kama anasura kama anakamua kinyesi lakini atapendwa kwa ajili ya hapo, mengine tunavumiliana tu, na yanavumilika, hata nyumba duchu unasahau.
Hili huwa linafunika mabaya yote, hata kama anasura kama anakamua kinyesi lakini atapendwa kwa ajili ya hapo, mengine tunavumiliana tu, na yanavumilika, hata nyumba duchu unasahau.
Kazi ya mke ni kufanya usafi?Ndiyo maana ndoa zenu masharobaro hazidumu!
Bible inasema "nendeni mkaijaze dunia"na hakuna sehemu maandiko yanasema" enenda mwanamwali ukaolewe kwa sababu ya kufanya usafi"
Kazi ya mke ni kufanya usafi?Ndiyo maana ndoa zenu masharobaro hazidumu!
Bible inasema "nendeni mkaijaze dunia"na hakuna sehemu maandiko yanasema" enenda mwanamwali ukaolewe kwa sababu ya kufanya usafi"