Kamwe usmwamin mtu % zote. Sio kitu rahisi kumkabidhi moyo mtu uliyekutana naye ktk safar ya maisha yako hata mm baba yako usiniamin" MWAMIN MAMA YAKO TU NAYE KWA 98% ,,,,,,,,,,,, haya ni maneno niliyokuwa naambiwa na baba yangu.......... Hata mm binafsi sijawahi kumwamin mpenz wangu hata siku moja........ Japo ni vigumu lakin tusiruhusu mioyo yetu kuwaamin tunaowapenda tutambue kuwa moyo wa mtu ni fumbo zito sana amballo aliwezi kufumbuliwa na mtu yeyote isipokuwa mhusika tu