Mapenzi ni zaidi ya uchafu

Mapenzi ni zaidi ya uchafu

Nyie binadamu mnafanyaje mambo ambayo hata nguruwe na uchafu wake hafanyi? Mpaka ukengeuke kiasi hicho ni wazi kabisa kwamba sex ya kawaida huijui wala huiwezi. Kama unaijua kikamilifu inaridhisha kuliko kitu chochote kingine unachoweza kufanya. Hutakuwa na haja ya kufanya mambo ya ajabu ajabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sio upuuzi mkuu,nilileta usasa kwenye mapenzi nikamnyonya dada wa watu hilo tundu la nyuma alilosema,aisee,niliumwa minyoo aina ya askari,nikila nasikia njaa hapohapo,nakiri dada wa watu alifurahia ila sirudii tena
We jamaa ni jasiri sana. Usirudie tena huo mchezo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom