Mapenzi ni ujinga akili au sanaa?

Mapenzi ni ujinga akili au sanaa?

Mwagitho

Senior Member
Joined
Oct 11, 2013
Posts
111
Reaction score
38
Naombeni tusaidiane kutafsiri nini maana ya mapenzi,maana kwa upande wangu naona ni ujinga tu yanaishia kuniumiza hakuna unafuu wowote ule zaidi ni kuishia kugombana kufikiriana vibaya kupeana presha zisizokuwa na lazima heri kukaa peke yangu.
 
Sanaa ya ujinga, mshindi ni mjinga zaidi akiweza kumrubuni mjinga kwamba yeye si mjinga. Ni ngoma ya majuha. Ngono kwa ajili ya kuendeleza kizazi cha binadamu, mengine mistari ya pambizo kwenye kurasa nyingi za insha ya ujinga.
 
Naombeni tusaidiane kutafsiri nini maana ya mapenzi,maana kwa upande wangu naona ni ujinga tu yanaishia kuniumiza hakuna unafuu wowote ule zaidi ni kuishia kugombana kufikiriana vibaya kupeana presha zisizokuwa na lazima heri kukaa peke yangu.

Tatizo huwezi kuzuia nature huoni hata ma padri wanakumbwa na kashfa ninachoweza sema hujapata ur match na huna hilo jibu kwanini hujampata ni mungu tu.lakini hata utakapo mpata haimaanishi hamtokwaluzana kama damu yako uliyozaliwa nayo au iliyokuzaa mnakwaluzana vipi kwa mtu mwengine
 
ni ujinga kwa waliyoyashindwa (kama wewe)...ni akili kwa wanaotumia akili kwenye kuyafanikisha...na ni sanaa kwa wanaoyachezea
 
Naombeni tusaidiane kutafsiri nini maana ya mapenzi,maana kwa upande wangu naona ni ujinga tu yanaishia kuniumiza hakuna unafuu wowote ule zaidi ni kuishia kugombana kufikiriana vibaya kupeana presha zisizokuwa na lazima heri kukaa peke yangu.
Usijiue tu maana nyi ewahehe
.............
 
Sanaa ya ujinga, mshindi ni mjinga zaidi akiweza kumrubuni mjinga kwamba yeye si mjinga. Ni ngoma ya majuha. Ngono kwa ajili ya kuendeleza kizazi cha binadamu, mengine mistari ya pambizo kwenye kurasa nyingi za insha ya ujinga.

Likeeee.......!
 
Naombeni tusaidiane kutafsiri nini maana ya mapenzi,maana kwa upande wangu naona ni ujinga tu yanaishia kuniumiza hakuna unafuu wowote ule zaidi ni kuishia kugombana kufikiriana vibaya kupeana presha zisizokuwa na lazima heri kukaa peke yangu.

mbona wengi wanakula good time tu. wewe una ki.ma.vi cha kuwa na wrong choices. jifunze kutotamani, epuka selfishness, mwombe Mungu atakupa your perfect match.
 
watu wanajifanya wanapendana sio wanapendana mwingine anatumia nguvu ya pesa ili apendwe,unapendwa sababu una pesa,kesho mnagombana hamtaki hata kusalimiana,mnasalitiana,mnabembelezana,mnatukanana,mnapigana,sio yule uliyekuwa unampenda kama zamani saa hizi ukimuona unasikia kichefuchefu,MAPENZI UJINGA
 
Naombeni tusaidiane kutafsiri nini maana ya mapenzi,maana kwa upande wangu naona ni ujinga tu yanaishia kuniumiza hakuna unafuu wowote ule zaidi ni kuishia kugombana kufikiriana vibaya kupeana presha zisizokuwa na lazima heri kukaa peke yangu.

Nikionacho hapo ni kwamba kwako wewe pekee mapenzi ndio Ujinga...
 
Adam na Hawa wangekuwepo leo nadhani wangekuwa kwenye position nzuri sana ya kujibu aiseee, mie nimeyakuta tu sijui
 
Mapenzi ni dhambi hebu achana nayo kapsaaaaa. utaenda motoni bureee
 
"Ndege wa angani huimba vizuri sana, lakini ni hatari sana kufanya urafiki nao, maana wakishtuliwa kidogo tu na kitu huruka na kukuacha mpweke...kuna watu wako kama ndege kitabia!! uwe mwangalifu wanapokufurahisha kwa porojo zao mshtuko ukitokea watakimbia na kukuacha mwenyewe.Ukimpata mtu sahihi,hasiyeruka kama ndege akishituliwa,Mapenzi ni matamu muno hasikwambie mtu,ni akili kwa sababu inahitaji kutambua mwenzio anahitaji nini na kwa wakati gani wakati mwingine kiasi gani pia!Ni sanaa kwa sababu inahitaji kutambua umshike wapi mwenzio kila siku na kwa staili tofauti tofauti atekenyeke!
 
"Ndege wa angani huimba vizuri sana, lakini ni hatari sana kufanya urafiki nao, maana wakishtuliwa kidogo tu na kitu huruka na kukuacha mpweke...kuna watu wako kama ndege kitabia!! uwe mwangalifu wanapokufurahisha kwa porojo zao mshtuko ukitokea watakimbia na kukuacha mwenyewe.Ukimpata mtu sahihi,hasiyeruka kama ndege akishituliwa,Mapenzi ni matamu muno hasikwambie mtu,ni akili kwa sababu inahitaji kutambua mwenzio anahitaji nini na kwa wakati gani wakati mwingine kiasi gani pia!Ni sanaa kwa sababu inahitaji kutambua umshike wapi mwenzio kila siku na kwa staili tofauti tofauti atekenyeke!

Yaani hatarudi na thread zake
 
naludi tena mkuu hivi, kumbuka wakati uko single hujaoa unajiishia ghettoni kwako peke yako huoni ulikuwa huru sana.Sasa hivi ukichelewa kuludi lazima ulizwe ulikuwa wapi,hata huyo mwenzako akichelewa kuludi unachanganyikiwa, huaminiwi wala humuamini mwenzako MAPENZI UTUMWA starehe kidogo karaha nyingi.
 
Mapenzi sanaaa jitahidi uwe msanii wa hali ya juu utafaidi sana usiogope dhambi ya uongo wee toa ahadi zisizotekelezeka kama ccm akikustukia mwambie umebanwa na haka ka mda kadogo na ufinyu wa bajeti
 
Naombeni tusaidiane kutafsiri nini maana ya mapenzi,maana kwa upande wangu naona ni ujinga tu yanaishia kuniumiza hakuna unafuu wowote ule zaidi ni kuishia kugombana kufikiriana vibaya kupeana presha zisizokuwa na lazima heri kukaa peke yangu.

Achana na hayo mateso tu amna jipya kusumbuana tu. Bora ukae peke yako utaishi kwa raha
 
Back
Top Bottom