halfankp_sniper
Member
- Mar 21, 2015
- 17
- 3
Hivi kweli mapenzi ni ugonjwa kama ni ugonjwa kwanini watafiti wasitafutie dawa? Kila sehemu siku hizi ukimkuta msichana ama mvulana akizungumzia mapenzi basi lazima yawe mapenzi yenye maumivu.
Je haya mapenzi nini hasa? Karibuni tujadiliane
Je haya mapenzi nini hasa? Karibuni tujadiliane