Mapenzi magumu

ALLEX

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2011
Posts
2,006
Reaction score
346
msipende kuchuna wenzenu bila kutoa uroda yata kupata haya..

Hii imetokea kwenye chuo kimoja huko nigeria

 
maskini ya Mungu..
Huyu atakuwa kaungua moto..
Pole yake kwa kweli..dahhhh
 
Mmmmh ya kweli!!!!!!!!!!!!!!!
 
mmh...huyu sio kakumbwa na Boko Haram kweli....?
 
Mtoa sired hana ushahidi kwamba huyu ni mapenzi ndiyo yaliyomsababishia madhara haya, bali ameamua tu kubuni heading.
 
Mtoa sired hana ushahidi kwamba huyu ni mapenzi ndiyo yaliyomsababishia madhara haya, bali ameamua tu kubuni heading.

Yeye kasema hivyo, wewe unataka aseme kulingana na akili yako! Kama ni kweli hilo liwe funzo kwa wanao waita wafadhili wao mabuzi. Vasco da Gamba alikwisha sema "ukitaka kula cha mwenzio nawewe ukubali kuliwa"
 
Mtoa sired hana ushahidi kwamba huyu ni mapenzi ndiyo yaliyomsababishia madhara haya, bali ameamua tu kubuni heading.

ngoja nirudi nikutafuti ushahidi tena ni denti wa chuo huko nigeria
 
Haki ya nani hii kiboko,hakuna vya bwerere hapa,nipe nikupe hiyo,pole yake kwakwel
 
Ah! sijui ngozi itarudi tena??????????? inasikitisha sana
 
Du huu ni ukatili uliopitiliza; kama kakunyima kwa nini uishie huku? Baada ya kumfanyia hili uanjisikiaje moyoni? ukijaaliwa watoto wa kike mungu lazima kaulipizie hapa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…