hallo!!!
**huwa nikiwa nasafiri either route ndani ya mkoa ama mikoani,nikikaa na mwanamke mrembo tutaishia kuwa marafiki kama ni route ndani ya mkoa ila kama ni nje lazima tu atakuwa mpenz wangu**
sijajua logic iliyekuwapo in between it seems when two sex stay long together in a sit for a long time they share some feelings
Mkuu ni wangapi mpaka sasa hv umewapata kwa mtindo huo?
mkoa 8 ndani marafiki 22 kati ya 22 ,12 wakawa wapenz 10 marafiki ,kati ya 8 ,4 nimepiga,kati ya 12 sijaacha hata moja
ila nimetubu koho koho
mkoa 8 ndani marafiki 22 kati ya 22 ,12 wakawa wapenz 10 marafiki ,kati ya 8 ,4 nimepiga,kati ya 12 sijaacha hata moja
ila nimetubu koho koho
Kama hizi makitu zingekua na kemikali kuna watu tungeshalipuka kwa kumix..
Ebu jiulize kama we unafanya hivyo na huyo ule kutana nae ni hivyo hivyo mara idadi uliyoPiga na changanya na zake alizopigwa kuachilia mbali wamtaan...! Duuh!!! Tuko wangapi TULIZANA
mkuu mbona unaleta promo za matangazo kwenye TV
basi vizuri, ongeza juhudi kijana, usiache utaumwa ujue, ongeza safari, na inaonekana una bahati kila ukisafiri unakaa na mdada? au unachonga dili na makonda? sipati picha siku ukikaa na bibi sijui ataishiaje na yeye.
Hahaha wewe ni wa kiume kweli na hizi swaga?inahu......
hukusema uliandika
inahu......