kalulukalunde
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 1,056
- 1,083

Maoni yangu
Kweli nabii hakubaliki nyumbani, JK ni hazina ya taifa na dunia kwa ujumla, mungu amjaalie mwisho mwema.
Wewe ndo unaona tofauti-- hilo jopo lipo chini ya Uenyekiti wa JK; sasa huo utofauti wa headline na content upo wapi?!Naona kiswahili kigumu jopo la ngazi ya juu au JK . Headline ya gazeti na content tofauti.
KARAMA YAKE INANGARA DUNIANI KOTE HAKUNA WA KUIZUIAMwenyezimungu alimpa Karama za kipekee Jakaya! Hizi ni Taarifa mbaya sana Wafuasi wa Yule mwenye Tuzo ya Amani kutoka Makanisa 2000 ya shahidi wa Yehova na Ufufuo kutoka Lubumbashi.
Even the evil ones have a good spirit sometimes, we can't be all good or all bad, we are both, good and bad!
kwani hilo jopo linaongozwa na nani?Naona kiswahili kigumu jopo la ngazi ya juu au JK . Headline ya gazeti na content tofauti.
UMENENA VYEMAKiongozi bora ni yule aliye na maono ya kesho na kesho kutwa. Anaona mbali na kuchuja yale anayoyaogea na kujua mapema athari ya akitamkako. Ni mtu anayeheshimu mawazo na kutoa uhuru mpana wa watu kumsema ili kama kuna sehemu kakosea ajirekebishe. Pengine hili ndilo limemfanya aonekane bora kuliko wengine.
kuna ukweli ndani ya hilo uliloandika nakubaliana na wewe,waswahili tuna sema mtu hata awe mbaya vipi lazima atakua na wema fulani hata kidogo tu. Yaani mbaya halisi na wema hakosi.Evil the evil ones have a good spirit sometimes, we can't be all good or all bad, we are both, good and bad!
HUyoo sio kama yule mzee wa ''....Fukuza wote, na madarasa yao tutageuza mabanda ya kufugia kuku....'' Big up kijana wa msogaJK ni born Leader.
JK ni kama Mwalimu mkuu Siyo kama Mwalimu wa zamu
JK ni kama dereva siyo kama konda
JK ni kama mkuu wa gereza siyo kama Nyapara
Kikubwa sana kinachombeba huyu jamaa ni UTU, UBINADAMU nafsini mwake anao mwingi sana.