maharage ya nazi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 344
- 230
Habari wanaforum. Napendekeza mapato ya fine za polisi usalama wa barabarani za mamilioni na mabilioni zikasaidie kujenga na kurekebisha miundo mbinu za barabarani kama alama na taa za watembeaji kwa miguu na wakatishaji barabara, taa za kuongozea gari, alama za barabarani, njia za zege kwa watembeaji kwa miguu n.k. hii nafkiri itakuwa ni njia sahihi ya kuboresha usalama wa barabarani. Changia katika hili