MAPANKI - Urefu wa Tamthilia

Jazzie

Member
Joined
Jan 30, 2008
Posts
73
Reaction score
35
Mapanki...tunakuja February 7, 2015.

Usishangae kwa nini tamthilia itakuwa na urefu wa kama dakika 10 tu hivi.

Kwa nini tumeamua tamthilia ya Mapanki iwe na urefu wa dakika 10 badala ya dakika 30 mpaka 60? Ni kwa sasabu mpango wetu ni kuonesha tamthilia yetu kupitia mtandao tu. Kwa kawaida, vituo vya luninga vinahitaji vipindi vya tamthilia viwe na urefu wa dakika 30 mpaka 60. Sisi lengo letu ni kukupa burudani bila kubanwa na fomula za vituo vya luninga.

Ndo ubunifu wenyewe huo, au siyo?

Kwa taarifa zaidi:
MAPANKI

PROMO iko hapa:
https://www.youtube.com/watch?v=Ysv6fSIhKqA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…