Maoni yenu kuhusu kozi ya Linguistic tafadhali

Maoni yenu kuhusu kozi ya Linguistic tafadhali

Joel360

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2013
Posts
986
Reaction score
657
Kuna mdogo wangu anatarajia kuanza kusoma degree ya LINGUISTICS chuo kikuu mwaka huu lakini ana mpango wa kubadili mawazo kutokana na kile anachokiskia kuwa Linguistics ni ngumu sana na ni rahisi sana kudisco.

Sasa ndugu zangu naombeni mawazo yenu kuwa Je, ni kweli kuwa Linguistics ni ngumu sana kiasi cha kuwa rahisi sana kudisco?

Lakini pia ushauri wenu kwake ili asidisco Linguistics.
 
Aaaaaah kila kitu kigumu tu chamsingi akakomae tu, mi pia nmeisoma.
 
Mkuu...ugumu na urahsi ni kutokana na ufahamu wa mtu.so usifuate mkumbo
 
Iñàtegemeana na msingi wake ktk lugha ya kingerez...Kama msingi wake ni mbov kwakweli atahangaika sio coz ya kisport sport...pia aina ya chuo anachotaka kusoma...kwa vyuo vya serilikali Kama udom...(samahani kwa ambao ni wapinzani wa udom ) ni rahisi kudisco usipokaza......nwafahamu waliodisco ndo maana nasema hivyo...ila sio issue kivileee na mambo yakawaida tu ukikomaa vzr
 
Iñàtegemeana na msingi wake ktk lugha ya kingerez...Kama msingi wake ni mbov kwakweli atahangaika sio coz ya kisport sport...pia aina ya chuo anachotaka kusoma...kwa vyuo vya serilikali Kama udom...(samahani kwa ambao ni wapinzani wa udom ) ni rahisi kudisco usipokaza......nwafahamu waliodisco ndo maana nasema hivyo...ila sio issue kivileee na mambo yakawaida tu ukikomaa vzr
Asante Ndugu.

Na ni kweli kuwa ugumu wake unafanana na Sayansi kama baadhi ya watu wanavosema?

Kwann ni rahisi kudisco kozi hiyo?
 
Kuna mdogo wangu anatarajia kuanza kusoma degree ya LINGUISTICS chuo kikuu mwaka huu lakini ana mpango wa kubadili mawazo kutokana na kile anachokiskia kuwa Linguistics ni ngumu sana na ni rahisi sana kudisco.

Sasa ndugu zangu naombeni mawazo yenu kuwa Je, ni kweli kuwa Linguistics ni ngumu sana kiasi cha kuwa rahisi sana kudisco?

Lakini pia ushauri wenu kwake ili asidisco Linguistics.

Hamana kozi tamu kama hiyo kama yuko tayari nayo
 
Ingekuwa vizuri utueleze ni chuo gani. Ila asome tu na ajitoe ufahamu ajione hana anachojua ndo anaanza na awe mwenye kupenda kusoma in detail siyo summary
 
Ingekuwa vizuri utueleze ni chuo gani. Ila asome tu na ajitoe ufahamu ajione hana anachojua ndo anaanza na awe mwenye kupenda kusoma in detail siyo summary
Asante kwa ushauri ndugu. Kwahiyo ugumu wa Linguistics hutegemea na chuo?
 
Ebu tuweke wazi kwanza ni chuo gani itasadia kutoa ushauri..unajua pia ugumu ya course unachangiwa na baadhi ya walimu wa somo husika..mfano SAUT mwanza linguistic haishikiki ila mimi nakomaa nayo ivo ivo
 
Ebu tuweke wazi kwanza ni chuo gani itasadia kutoa ushauri..unajua pia ugumu ya course unachangiwa na baadhi ya walimu wa somo husika..mfano SAUT mwanza linguistic haishikiki ila mimi nakomaa nayo ivo ivo
Chuo anachoenda ni UDOM
 
Dogo anaogopa ugumu..Inaonekana hapendi kujituma
 
Kwanza niseme tu kuwa hakuna kitu kigumu ila ugumu uko katka vichwa vyetu...pili Fanya kile unachoweza na kupenda kutoka moyon na sio kufuata mkumbo kwa Rafiki kwa sababu tunatofautiana uelewa,,lakn zaid sana zingatia uwezo na msingi wako wa awali na kama uko vizr ktk hayo usiogope,
 
Back
Top Bottom