Neewly
Member
- Jun 9, 2021
- 5
- 3
Watanzania wenzangu nawaomba sana tuelewe jambo hili ambalo likizingatiwa litakuwa na faida kwetu na kwa vizazi vyetu na vijavyo.
Mtanzania mwenzangu unapotoa hoja au maoni hakikisha hukandamizi kabila la mtu, dini na imani ya mtu. Jambo hili limekuwa likijitokeza katika nyuzi mbalimbali, hali hii ikiendelea inaweza ikaleta mpasuko mkubwa baina yetu watanzania na vizazi vyetu.
Naipenda Tanzania
Kuwa mzalendo
Sisi ni wamoja wa Tanzania mojaView attachment 2003436
Mtanzania mwenzangu unapotoa hoja au maoni hakikisha hukandamizi kabila la mtu, dini na imani ya mtu. Jambo hili limekuwa likijitokeza katika nyuzi mbalimbali, hali hii ikiendelea inaweza ikaleta mpasuko mkubwa baina yetu watanzania na vizazi vyetu.Naipenda Tanzania

Kuwa mzalendo
Sisi ni wamoja wa Tanzania mojaView attachment 2003436