Ni mtazamo wangu ambao naona ndiyo suluhisho la foleni Dar ktk kipindi hiki ambacho strabag wanajenga barabara, mimi naona kama hauna ulazima sana kwenda na gari town acha gari home panda daladala acha aibu, kwa wale wanajiona mabosi kodini teksi basi.
Tatizo kila mtu anataka aonekana ana gari mjini au kazini.Mimi sioni raha kwa kuendesha gari kwa foleni kwanza matumizi ya mafuta ni makubwa, barabarani mateso yaani shida tu.
Kwa ktk kipindi hiki kama hauna umuhimu sana wa kwenda na gari town au sehemu nyingine tumia basi au taxi.
Huo ni mtazamo wangu, sijui nyie mnaonaje.
Natanguliza salam.