M MpiganajiWetu Senior Member Dec 20, 2012 107 20 Jan 12, 2013 #22 Asante kwa kuitambua Tanganyika maana wenzetu pamoja na kuwa ktk muungano, wao wana kila kitu kinachowatambua kama nchi yaani rais, katiba,bunge,wimbo nk. Sisi Tanganyika haieleweki tulipo.
Asante kwa kuitambua Tanganyika maana wenzetu pamoja na kuwa ktk muungano, wao wana kila kitu kinachowatambua kama nchi yaani rais, katiba,bunge,wimbo nk. Sisi Tanganyika haieleweki tulipo.