Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Shirika la Umeme Tanzania - TANESCO

hakikisheni umeme mtwara hii ni aibu yaani unakatika kila wakati
Hili la Mtwara kunahaja ya kufukuza viongozi wa mkoa wa tanesco,sijui watu wa Mtwara mnavumilia vipi upuuzi wanaofanya Tanesco. Kama kuna mtoto anachezea switch. Hali ilivyokuwa trh 1.9.2017 kwa kweli ningekuwa na mamlaka nadhani kuna watu j3 wangeamkia mahakamani maana wikend hii wangelala kwanza sero.
 
Hili la Mtwara kunahaja ya kufukuza viongozi wa mkoa wa tanesco,sijui watu wa Mtwara mnavumilia vipi upuuzi wanaofanya Tanesco. Kama kuna mtoto anachezea switch. Hali ilivyokuwa trh 1.9.2017 kwa kweli ningekuwa na mamlaka nadhani kuna watu j3 wangeamkia mahakamani maana wikend hii wangelala kwanza sero.
wanakera kinoma
 
Vipi tatizo la umeme Lindi na Mtwara limeshindikana maana pamoja na ukweli gas inatoka huko lakini umeme kukatika Mara ishirini kwa siku ni kawaida.Pia Lindi mjini umeme unapatikana less than 40% of 24 hrs in a day.
 
Huko Lindi kuna kipindi niliona fursa Fulani nikataka kuanzisha shughuli ya uzalishaji inayohitaji umeme. Nilipoamua kufuatilia upatikanaji wa umeme nikashangaa kama sio Tanzania na kwa kweli TANESCO na Idara ya maji ya Lindi ndio sababu ya mji wa Lindi kutokua na majengo na uwekezaji mpya.
 
TANESCO/REA -Kisarawe...tunashkuru kutufikishia huduma ya umeme maeneo ya kati ya Mvuti na Chanika.
Naomba kujua lini mtatuwashia umeme...Kila kitu tayari hadi transformer ila hatujajua lini tutakwenda kulipia na kuwashiwa.
asant.
 
Tanesco wafuate wateja kwa maana ya kuwapelekea nguzo za umeme pasipo tozo au malipo ya nguzo ili ata wale ambao hawana uwezo wa kununua nguzo waweze kuingiza umeme kwenye nyumba zao kwa gharama nafuu.
 
Je, kuna gharama zozote zinahitajika kulipwa ili mteja ahamishwe kutoka Tarrif 1 kwenda 4?
 
Samahani mkurugenzi nisaidie swali languhuwa sijibiwi
Heshima kwenu wakuu,

Hii thread iwe Maalum kwa Maoni, Ushauri na Mapendekezo mbalimbali au kutoa Taarifa na changamoto Mbalimbali kwa Shirika la Umeme Tanzania TANESCO

Vilevile unaweza kutembelea thread hii =>Namba za simu za mameneja wa Wilaya (116) wa TANESCO kwa kila Mkoa

Kwa upande wangu Mimi namuomba, Mkurugenzi mpya wa TANESCO ajipange kudhibiti wizi wa umeme nchi nzima.

1. Mkurugenzi mpya Ndugu Tito Mwinuka ana jukumu kubwa mbele yake.

2. Upatikanaji wa Umeme wa uhakika na wa kutosha ndio ufunguo wa Tanzania ya viwanda.

3. Zaidi ya 50% ya watumiaji wa umeme nchini wamejiunganishia umeme kiholela na hivyo kusababisha hasara kubwa kwa shirika. Kwa hali ilivyo shirika haliwezi kufanya maendeleo iwapo wizi huu utaendelea.

4. Kuna mitaa ya pembezoni mwa jiji na mikoa kwa mfano utakuta karibu nyumba zote zinatumia umeme wa wizi.

5. Mkurugenzi mpya, akijua ana jukumu la kuipeleka nchi kwenye uchumi wa viwanda ajipambanue, ajitofautishe na watangulizi wake. Aanzishe mpango endelevu wa kutembelea nyumba kwa nyumba mtaa kwa mtaa akianzia miji mikubwa mpaka vijini na kuwachukulia hatua kali wezi wa umeme. Atoe adhabu ambayo watu hawatatamani kuiba umeme kamwe. Mpango huu uhusishe vyombo vya dola na sheria. Ikiwezekana bunge litunge sheria mahsusi ya kuliokoa taifa na wizi wa nishati ya umeme.

6. Sanjari na kukamata wezi nchi nzima atathimini bei za umeme ili wananchi hata wa kipato cha chini waweze kulipia badala ya kuiba.

7. Tafadhali Mkurugenzi ndugu Tito Mwinuka na TANESCO jibu hoja hizi kwa faida ya nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
c
Heshima kwenu wakuu,

Hii thread iwe Maalum kwa Maoni, Ushauri na Mapendekezo mbalimbali au kutoa Taarifa na changamoto Mbalimbali kwa Shirika la Umeme Tanzania TANESCO

Vilevile unaweza kutembelea thread hii =>Namba za simu za mameneja wa Wilaya (116) wa TANESCO kwa kila Mkoa

Kwa upande wangu Mimi namuomba, Mkurugenzi mpya wa TANESCO ajipange kudhibiti wizi wa umeme nchi nzima.

1. Mkurugenzi mpya Ndugu Tito Mwinuka ana jukumu kubwa mbele yake.

2. Upatikanaji wa Umeme wa uhakika na wa kutosha ndio ufunguo wa Tanzania ya viwanda.

3. Zaidi ya 50% ya watumiaji wa umeme nchini wamejiunganishia umeme kiholela na hivyo kusababisha hasara kubwa kwa shirika. Kwa hali ilivyo shirika haliwezi kufanya maendeleo iwapo wizi huu utaendelea.

4. Kuna mitaa ya pembezoni mwa jiji na mikoa kwa mfano utakuta karibu nyumba zote zinatumia umeme wa wizi.

5. Mkurugenzi mpya, akijua ana jukumu la kuipeleka nchi kwenye uchumi wa viwanda ajipambanue, ajitofautishe na watangulizi wake. Aanzishe mpango endelevu wa kutembelea nyumba kwa nyumba mtaa kwa mtaa akianzia miji mikubwa mpaka vijini na kuwachukulia hatua kali wezi wa umeme. Atoe adhabu ambayo watu hawatatamani kuiba umeme kamwe. Mpango huu uhusishe vyombo vya dola na sheria. Ikiwezekana bunge litunge sheria mahsusi ya kuliokoa taifa na wizi wa nishati ya umeme.

6. Sanjari na kukamata wezi nchi nzima atathimini bei za umeme ili wananchi hata wa kipato cha chini waweze kulipia badala ya kuiba.

7. Tafadhali Mkurugenzi ndugu Tito Mwinuka na TANESCO jibu hoja hizi kwa faida ya nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heshima kwenu wakuu,

Hii thread iwe Maalum kwa Maoni, Ushauri na Mapendekezo mbalimbali au kutoa Taarifa na changamoto Mbalimbali kwa Shirika la Umeme Tanzania TANESCO

Vilevile unaweza kutembelea thread hii =>Namba za simu za mameneja wa Wilaya (116) wa TANESCO kwa kila Mkoa

Kwa upande wangu Mimi namuomba, Mkurugenzi mpya wa TANESCO ajipange kudhibiti wizi wa umeme nchi nzima.

1. Mkurugenzi mpya Ndugu Tito Mwinuka ana jukumu kubwa mbele yake.

2. Upatikanaji wa Umeme wa uhakika na wa kutosha ndio ufunguo wa Tanzania ya viwanda.

3. Zaidi ya 50% ya watumiaji wa umeme nchini wamejiunganishia umeme kiholela na hivyo kusababisha hasara kubwa kwa shirika. Kwa hali ilivyo shirika haliwezi kufanya maendeleo iwapo wizi huu utaendelea.

4. Kuna mitaa ya pembezoni mwa jiji na mikoa kwa mfano utakuta karibu nyumba zote zinatumia umeme wa wizi.

5. Mkurugenzi mpya, akijua ana jukumu la kuipeleka nchi kwenye uchumi wa viwanda ajipambanue, ajitofautishe na watangulizi wake. Aanzishe mpango endelevu wa kutembelea nyumba kwa nyumba mtaa kwa mtaa akianzia miji mikubwa mpaka vijini na kuwachukulia hatua kali wezi wa umeme. Atoe adhabu ambayo watu hawatatamani kuiba umeme kamwe. Mpango huu uhusishe vyombo vya dola na sheria. Ikiwezekana bunge litunge sheria mahsusi ya kuliokoa taifa na wizi wa nishati ya umeme.

6. Sanjari na kukamata wezi nchi nzima atathimini bei za umeme ili wananchi hata wa kipato cha chini waweze kulipia badala ya kuiba.

7. Tafadhali Mkurugenzi ndugu Tito Mwinuka na TANESCO jibu hoja hizi kwa faida ya nchi.
Waziri mwenye dhamana ajitafakari kashindwa kuwapa huduma watu mpaka wanatafuta mobisol kwa sababu huku Mikoani nguzo unauziwa mwananchi wakati nguzo ni mali ya TANESCO siyo ya mteja,mteja hata akilipia harudishiwi pesa zake badala yake mteja atakaye Vuta umeme hatamfidia mwenzake aliyelipia umeme kwa pesa kubwa mwanzo.
Mungefanya utaratibu kwa mteja aliiyelipia nguo mwanzo kwa pesa kubwa arudishiwe na mteja aliyelipia umeme kutoka kwenye nguzo zilizopiwa na mteja wa kwanza ailyezilipia,
Raisi Samia naomba utusaidia kwani wanaona ni kero watu mpaka wanaamua kuumia mobisol
 
Mimi ningependa kutoa ushauri ufuatao; Kwamba ruzuku isipewe Kanda ambayo mezani kwao kuna maombi ya wateja wanaotaka kufungiwa umeme.Wapewe wale ambao wamekamilisha hilo zoezi Kama ana maombi ambayo hayajashughulikiwa atoe maelezo kwa nini hawajatekeleza.Hi itasaidia kupunguza mlundikano wa maombi ya wanaotaka umeme.Naomba kuwasilisha
 
Asee TABATA wanakata sana siku hizi sijui tatizo nini yaani wasipokata asubuhi watakata usiku.Bado tuna safari ndefu sana kufika kwenye ustawi
 
Back
Top Bottom