Maoni na upigaji kura wa katiba mpya

Maoni na upigaji kura wa katiba mpya

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2008
Posts
55,028
Reaction score
59,657
Hili tangazo sijalielewa wadau
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    127.8 KB · Views: 162
Sku zote watanzania so kwamba tuna uelewa saw a.....
Hiyo katiba ya mamilion ya watanzania igesambaa kwanza wanyamwez waisome waelewe then mpange mkakati madhubuti WA kuwafikia walengwa waone km wataipenda ama lahhhh! So mnapanga kuipigia kura wakat hajulikan......Tafakari Na hatua mbele
 
Sku zote watanzania so kwamba tuna uelewa saw a.....
Hiyo katiba ya mamilion ya watanzania igesambaa kwanza wanyamwez waisome waelewe then mpange mkakati madhubuti WA kuwafikia walengwa waone km wataipenda ama lahhhh! So mnapanga kuipigia kura wakat hajulikan......Tafakari Na hatua mbele
Hata kwenye 'website' haipo. Tunaburuzwa tu kama kawaida yetu.
 
​poor Tanzania, eti wameanza na ugawaji wa kofia za upigaji kura wakati watu tunataka wananchi wagaiwe hiyo katiba pendekezwa na master mind chenge ili waipitie
 
Tanzania ni nchi pekee ambayo wenye katiba wanawekewa masharti magumu ya kuongelea katiba yao; masharti yenyewe yanawekwa na serikali inayopaswa kuamrishwa na wananchi wenye katiba yao - shame!
 
Back
Top Bottom