Cybergates
JF-Expert Member
- Dec 2, 2016
- 672
- 1,390
Hellow bosess!
Dunia ya saivi sio ya miaka ile ya 70 saivi technolojia ina impact kubwa tu kwa maisha ya saivi na baadae. Twende kwenye mada
Mkuu apo juu amekuja na wazo lakuanzisha Jf saccos kaeleza vizuri sana kuhusu wazo lake
maoni yangu kuhusu
1.Ku-rise fund
->umeeleza vizuri kuhusu michango ya member wa jf. Kwangu mimi ili ku rise fundi na kutengeneza mtaji cha kwanza alizima Saccos iwe na ushirika na main Jf (ya max mello) kwa ujumla ili member tupate usalama wa ela zetu tutakazo invest kwako
->Tuwe na app itakayo kua na sehemu kuu tatu au zaidi, moja ya hiyo sehemu iwe ni sehemu ya kununua na kuuza hisa za jf saccos. Kwa mfano Jf saccos itataka mtaji wa 2 au 3 billion tunaingia kwenye code tuna tengeneza share zenye dhamani ya 3bl kila share inakua inauzwa kwa labda elf 1 au elf 3 kila mwana jf ananunua hisa kulingana na uhitaji wake na uwezo wake lakini pia kwa wakati huo huo mtu apewe uwezo wa kuuza hizo hisa zake hapo hapo kwenye app alipo nunulia mfano mm cybergates nilinunua hisa kwenye app ya jf saccos za elfu 50 nikapata hisa 120 baada ya miezi mitatu nataka niuze hisa 60 nipate hela yangu so simply naingia kwenye app yangu ya jf saccoss upande wa buy and sell share na click sell naweka idadi ya share nazotaka kuuza 60(au zote 120) ni ki click done zile share zinaingia sokoni nasubiri msiko
Impact ya hiyo featuse
1.kwanza ili mtu aweze kujisajili kwenye app ya jf saccos lazima awe member wa jf (tutatumia database ya jf kupata member)
2.urahisi kwa kununua hisa itakua simple mtu akisha jisajili moja kwa moja anapata uwezo wa kuweka ela kwenye jf sacos walet yake kwenye app ambapo ateweza kufanya malipo mbalimbali kwenye app au ataweza kununua kupitia reference number(eg 555 333 kwenye mitandao ya sim mpesa), debit card au bank account moja kwa moja hapo hapo kwenye app
3.urahisi wa mtu kuuza share zake, hii itafanya mtu awena huhakika wa kupata hela alizo wekeza jf sacos kwa maana anajua taauza tu kirahisi kupitia app
4.usalama na uhakika wa kumonitor capital, itakua rahisi sana kwa jf sacos kujua ni mtaji kiasi gani wamepata hisa kisasi gani umeuza na za sh ngapi na pia zimebaki ngapi na za sh ngapi
inaendelea 1/4
Dunia ya saivi sio ya miaka ile ya 70 saivi technolojia ina impact kubwa tu kwa maisha ya saivi na baadae. Twende kwenye mada
Mkuu apo juu amekuja na wazo lakuanzisha Jf saccos kaeleza vizuri sana kuhusu wazo lake
maoni yangu kuhusu
1.Ku-rise fund
->umeeleza vizuri kuhusu michango ya member wa jf. Kwangu mimi ili ku rise fundi na kutengeneza mtaji cha kwanza alizima Saccos iwe na ushirika na main Jf (ya max mello) kwa ujumla ili member tupate usalama wa ela zetu tutakazo invest kwako
->Tuwe na app itakayo kua na sehemu kuu tatu au zaidi, moja ya hiyo sehemu iwe ni sehemu ya kununua na kuuza hisa za jf saccos. Kwa mfano Jf saccos itataka mtaji wa 2 au 3 billion tunaingia kwenye code tuna tengeneza share zenye dhamani ya 3bl kila share inakua inauzwa kwa labda elf 1 au elf 3 kila mwana jf ananunua hisa kulingana na uhitaji wake na uwezo wake lakini pia kwa wakati huo huo mtu apewe uwezo wa kuuza hizo hisa zake hapo hapo kwenye app alipo nunulia mfano mm cybergates nilinunua hisa kwenye app ya jf saccos za elfu 50 nikapata hisa 120 baada ya miezi mitatu nataka niuze hisa 60 nipate hela yangu so simply naingia kwenye app yangu ya jf saccoss upande wa buy and sell share na click sell naweka idadi ya share nazotaka kuuza 60(au zote 120) ni ki click done zile share zinaingia sokoni nasubiri msiko
Impact ya hiyo featuse
1.kwanza ili mtu aweze kujisajili kwenye app ya jf saccos lazima awe member wa jf (tutatumia database ya jf kupata member)
2.urahisi kwa kununua hisa itakua simple mtu akisha jisajili moja kwa moja anapata uwezo wa kuweka ela kwenye jf sacos walet yake kwenye app ambapo ateweza kufanya malipo mbalimbali kwenye app au ataweza kununua kupitia reference number(eg 555 333 kwenye mitandao ya sim mpesa), debit card au bank account moja kwa moja hapo hapo kwenye app
3.urahisi wa mtu kuuza share zake, hii itafanya mtu awena huhakika wa kupata hela alizo wekeza jf sacos kwa maana anajua taauza tu kirahisi kupitia app
4.usalama na uhakika wa kumonitor capital, itakua rahisi sana kwa jf sacos kujua ni mtaji kiasi gani wamepata hisa kisasi gani umeuza na za sh ngapi na pia zimebaki ngapi na za sh ngapi
inaendelea 1/4