Wana jf habari zenu wote samahani naomba kuuliza maombi ya vyuo vikuu nchini yanaanza lini?
Unataka kusoma kozi za level gani?, certificate,diploma, degree au masters???
Jibu kwanza hapo then nikupe maelekezo
Wana jf habari zenu wote samahani naomba kuuliza maombi ya vyuo vikuu nchini yanaanza lini?
Degree
Wana jf habari zenu wote samahani naomba kuuliza maombi ya vyuo vikuu nchini yanaanza lini?
Je, unataka kuingia kwa sifa za moja kwa moja( direct entry) kwa kutumia matokeo ya form six au unataka kuingia kwa kutumia sifa za equivalents kama diploma na nyinginezo??
Hv hii direct inakuaje