ndolochi Member Joined Jul 21, 2016 Posts 8 Reaction score 2 Aug 6, 2016 #1 Selection za awamu ya pili nacte vyuo vya afya zitatoka Lin?
C Crystal field theory JF-Expert Member Joined Sep 16, 2014 Posts 951 Reaction score 412 Aug 6, 2016 #3 kwini kimbwala said: Mwez wa 11 Click to expand... wewe jamaa ni mbafa kweli,, hivi unavodanganya wenzako unapata nini sasa.
kwini kimbwala said: Mwez wa 11 Click to expand... wewe jamaa ni mbafa kweli,, hivi unavodanganya wenzako unapata nini sasa.
S saime97 Member Joined Jul 26, 2016 Posts 25 Reaction score 13 Aug 6, 2016 #4 zmeshafungwa mwisho ilikuwa tare 5/8/2016 kwa taarifa zaid ingia kweny page ya nacte
E evaristo ndwanga New Member Joined Jul 28, 2016 Posts 1 Reaction score 0 Aug 8, 2016 #5 Waungwana na sisi tunaotaka kwenda diploma ni kweli leo tarehe 8/8 watafungua tuaze ku apply au ni maneno ya watu tu.?
Waungwana na sisi tunaotaka kwenda diploma ni kweli leo tarehe 8/8 watafungua tuaze ku apply au ni maneno ya watu tu.?
hamix manko Member Joined Aug 1, 2016 Posts 92 Reaction score 29 Aug 8, 2016 #6 evaristo ndwanga said: Waungwana na sisi tunaotaka kwenda diploma ni kweli leo tarehe 8/8 watafungua tuaze ku apply au ni maneno ya watu tu.? Click to expand... Nacte wametoa tangazo leo ingia uone
evaristo ndwanga said: Waungwana na sisi tunaotaka kwenda diploma ni kweli leo tarehe 8/8 watafungua tuaze ku apply au ni maneno ya watu tu.? Click to expand... Nacte wametoa tangazo leo ingia uone