Nimeomba chuo kimoja mpango nimefika hatua ya mwisho na kuambiwa nimedanikiwa kutuma maombi.
Sijaona mahali pa malipo, nadhani ni njia ya kuvutia wateja. Hii nzuri
Nimeomba chuo kimoja mpango nimefika hatua ya mwisho na kuambiwa nimedanikiwa kutuma maombi.
Sijaona mahali pa malipo, nadhani ni njia ya kuvutia wateja. Hii nzuri
Nimechungulia website yao ina maelezo ya fee ya 10000 na unatakiwa upate namba kutoka kwao ndio ulipie kwa mtandao au bank. Hebu ingia tena taarifa hii unaisoma kabla ya kulog in. Jaribu.
Nimechungulia website yao ina maelezo ya fee ya 10000 na unatakiwa upate namba kutoka kwao ndio ulipie kwa mtandao au bank. Hebu ingia tena taarifa hii unaisoma kabla ya kulog in. Jaribu.