Umetuma applications ngapi hadi sasa? na je,unasoma vizuri vigezo vya kazi unazoapply? je,unatuma CV na Cover letter kutokana na nafasi ya kazi unayoapply au huwa unafoward to hiyo moja sehemu zote?rafiki @ JM, ivi inakuaje mtu unatuma applications ila hujawai kuitwa,nikwamba hazivutii, not qualified, au hatujui kuandaa barua na cv, au hatuna refa or wat? help me please.