Maombi ya kazi kwa njia ya e-mails

Maombi ya kazi kwa njia ya e-mails

AGAPE BOY

Senior Member
Joined
May 24, 2015
Posts
194
Reaction score
160
Hello wadau na wakuu, waajiri na waajiriwa, nimefungua uzi huu maalum kabisa kwa ajili ya kupata mwongozo mzuri na namna nzuri ya kuomba kazi kwa njia ya kutuma emails (sending cover letters, CV, and certificates documents).

Swali langu la kwanza ni kwenye uambatanishaji wa documents, binafsi sifahamu ni njia ipi nzuri either kuattach docoment moja moja kwenye emails moja (yaani, cover letter, CV, certificates separately in one email) au una ziunganisha pdf zote (Cover letter, CV, Certificates) na kuwa one pdf file then ndo utume kwenye email?

Mwenye kujua hili tusaidiane kidogo.

Nawakilisha.
 
Wakikuambia unganisha ziunganishe kwenye pdf moja, ila Kama hujaambiwa ziattach separately
 
Kama hawajakwambia weka kwenye pdf moja, basi weka hivi cover letter, cv, masterz/degree/diplo certificate, kisha merge transcriot+secondary cert, other attachments nazo weka kivyake kwenye pdf moja.
 
Wakikuambia unganisha ziunganishe kwenye pdf moja, ila Kama hujaambiwa ziattach separately
Kama hawajakwambia weka kwenye pdf moja, basi weka hivi cover letter, cv, masterz/degree/diplo certificate, kisha merge transcriot+secondary cert, other attachments nazo weka kivyake kwenye pdf moja.
Ipi ni best option kati ya njia hizi...?

Ni attach moja moja au nimerge hizo transcript+sec certificates halaf zingne ziwe mojamoja (Kama sijaambiwa ku attach)
 
Ipi ni best option kati ya njia hizi...?

Ni attach moja moja au nimerge hizo transcript+sec certificates halaf zingne ziwe mojamoja (Kama sijaambiwa ku attach)
Ushauri wangu n chukua hilo la kwanza, mara nyingi kama wanataka ziwe sehemu moja hua wanasema ila wasiposema bc weka separated, mara nyingi kazi za serikalini wanataka ziwe separated ila private ndo haieleweki.

Japokuwa njia zote n sawa na mzuri
 
Nadhani ukiweka all documents in a single PDF is the best kwasababu .
ukidownload document moja ni rahisi kureview badae kuliko ikiwa mojamoja, mwajiri anapata usumbufu wa kuunganisha document mojamoja na kama mjuavyo unadownload kitu kinajiandika jina lenye manamba kibao sasa ni usumbufu kwahiyo usisubiri uambiwe, simplicity is genius.
 
Nadhani ukiweka all documents in a single PDF is the best kwasababu .
ukidownload document moja ni rahisi kureview badae kuliko ikiwa mojamoja, mwajiri anapata usumbufu wa kuunganisha document mojamoja na kama mjuavyo unadownload kitu kinajiandika jina lenye manamba kibao sasa ni usumbufu kwahiyo usisubiri uambiwe, simplicity is genius.
point
 
Nadhani ukiweka all documents in a single PDF is the best kwasababu .
ukidownload document moja ni rahisi kureview badae kuliko ikiwa mojamoja, mwajiri anapata usumbufu wa kuunganisha document mojamoja na kama mjuavyo unadownload kitu kinajiandika jina lenye manamba kibao sasa ni usumbufu kwahiyo usisubiri uambiwe, simplicity is genius.
haya,ni mawazo yako mkuu na si ya kila mtu. kama wanataka uweke kwenye file moja lazima watakwambia
 
haya,ni mawazo yako mkuu na si ya kila mtu. kama wanataka uweke kwenye file moja lazima watakwambia
hayo yalikua mawazo yangu tu mkuu, najua kuweka document mojamoja ni rahisi sana, na watu wengi wanapenda vitu rahisi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom