Maombi ya ajira za Afya za TAMISEMI

Maombi ya ajira za Afya za TAMISEMI

Wakuu nimekwama nahitaji mwongozo kwa anayefahamu. Kwenye hizi ajira za TAMISEMI kuapply online hivi ukimaliza ku-upload taarifa zako na vyeti ndio ume-apply tayari? Mbona hakuna link ya kuapply?
Waliopata hongereni
 
Back
Top Bottom