Ukimaliza kujaza sehemu zote kul čhini kipengele cha mwisho kuna region of choice ukijaza hapo hiyo mikoa 3 itatokea neno SÀVE na ukibonyeza tu hapo utapewa hongera ya kumaliza ombì la kuapplyWakuu nimekwama nahitaji mwongozo kwa anayefahamu. Kwenye hizi ajira za TAMISEMI kuapply online hivi ukimaliza ku-upload taarifa zako na vyeti ndio ume-apply tayari? Mbona hakuna link ya kuapply?
Ukiona hivyo jisajiri upya, Mtandao unakuwa powa mida ya SAA nane usiku na SAA nne asubuhi, hakikisha Email unayo sajilia inafanya Kazi ( ipo active)Mimi sijatumiwa kabisa username na password after registration... Na mbaya zaidi ile namba yao ya msaada iliyopo pale kama ikiita, haipokelewi ila muda mwingi haipatikani.
Namba yenyewe hii hapa... +255672746256
Ukiona hivyo jisajiri upya, Mtandao unakuwa powa mida ya SAA nane usiku na SAA nne asubuhi, hakikisha Email unayo sajilia inafanya Kazi ( ipo active)
Ingia halafu jaza hiyo username halafu kwenye password click forget password watakupa nyingine mpya. Ila username itabaki ileileShida ni kwamba ukisajili upya unaambiwa ushajisajii.
Hapo ndo shida zinapoanza
Ingia halafu jaza hiyo username halafu kwenye password click forget password watakupa nyingine mpya. Ila username itabaki ileile
Nakumbuka nilijisajiri Mara ya kwanza, nikafanikiwa vizuri, sasa ikawa shida kujaza information maana ilikuwa inaonesha blank page, nilikaa kama siku tatu hivi, nika log in, shida ikawa hapo kwenye Ku log in ikawa ina onesha kale kamstari kendundu pale kaenda kulia tena kana ludi kushoto kwa mda kama wa dakika tano hivi,Shida ni kwamba ukisajili upya unaambiwa ushajisajii.
Hapo ndo shida zinapoanza
Nakumbuka nilijisajiri Mara ya kwanza, nikafanikiwa vizuri, sasa ikawa shida kujaza information maana ilikuwa inaonesha blank page, nilikaa kama siku tatu hivi, nika log in, shida ikawa hapo kwenye Ku log in ikawa ina onesha kale kamstari kendundu pale kaenda kulia tena kana ludi kushoto kwa mda kama wa dakika tano hivi,
Nikaona upuuzi, nika close all tabs, nikaingia tena kupitia Mozilla ferox , nikaamua kuregister upya ndo ikakubali,
Kama inakuambia tayari usha jiunga jaribu kubonyenza Forgot password uone itakuwaje?
Nakumbuka nilijisajiri Mara ya kwanza, nikafanikiwa vizuri, sasa ikawa shida kujaza information maana ilikuwa inaonesha blank page, nilikaa kama siku tatu hivi, nika log in, shida ikawa hapo kwenye Ku log in ikawa ina onesha kale kamstari kendundu pale kaenda kulia tena kana ludi kushoto kwa mda kama wa dakika tano hivi,
Nikaona upuuzi, nika close all tabs, nikaingia tena kupitia Mozilla ferox , nikaamua kuregister upya ndo ikakubali,
Kama inakuambia tayari usha jiunga jaribu kubonyenza Forgot password uone itakuwaje?
Nakumbuka nilijisajiri Mara ya kwanza, nikafanikiwa vizuri, sasa ikawa shida kujaza information maana ilikuwa inaonesha blank page, nilikaa kama siku tatu hivi, nika log in, shida ikawa hapo kwenye Ku log in ikawa ina onesha kale kamstari kendundu pale kaenda kulia tena kana ludi kushoto kwa mda kama wa dakika tano hivi,
Nikaona upuuzi, nika close all tabs, nikaingia tena kupitia Mozilla ferox , nikaamua kuregister upya ndo ikakubali,
Kama inakuambia tayari usha jiunga jaribu kubonyenza Forgot password uone itakuwaje?
Okeay Mkuu, Angalia quote ya Prince Kunta hapo juu #3Hivi ikifanikiwa inakuja message gani mkuu?
Maana nimeattach vinavyotakiwa mpaka pale chini kabisa kwenye kuchagua mikoa then nikakuta save tu... Hakuna option kama "Send" hivi?
Au mimi nitajihidhirisha vipi kama nishasend?
Majibu yawaliofanikiwa kupata yanatoka lini!?Wakuu nimekwama nahitaji mwongozo kwa anayefahamu. Kwenye hizi ajira za TAMISEMI kuapply online hivi ukimaliza ku-upload taarifa zako na vyeti ndio ume-apply tayari? Mbona hakuna link ya kuapply?
Kuwa mvumilivu mkuu, Dalili bado hazionyeshi kuwa kuna majibu yanatoka,Majibu yawaliofanikiwa kupata yanatoka lini!?
hizi ajira sijui zinatatizo gani maana walitoa nafas chache sana ila muda wa kuzi release imekuwa changamoto kubwa sanaNa waliyosomea vyuo vya private hizo ajira wakituma maombi wanapata
Dah wanazingua kweli ynhizi ajira sijui zinatatizo gani maana walitoa nafas chache sana ila muda wa kuzi release imekuwa changamoto kubwa sana
Dalili gan hizo hazionyeshiKuwa mvumilivu mkuu, Dalili bado hazionyeshi kuwa kuna majibu yanatoka,