PAYE JF-Expert Member Joined Jun 19, 2025 Posts 354 Reaction score 395 Oct 17, 2025 #1 Maombi na dua maalum imefanyika ili kuliombea Taifa katik kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025 Mgombea Udiwani wa kata ya Segerea Robert Manangwa ameongoza Dua/Maombi ya kuliombea Taifa amani Dua hiyo imefanyika kwa kushirikiana na kamati ya Maridhiano na Amani (JAY MAT) hapa nchini kwenye viwanja vya Toto Tundu uliopo Tabata Kwa nyakati tofauti viongozi hao wa dini pamoja na mgombea udiwani wa kata hiyo wamehimiza amani kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29,2025. Your browser is not able to display this video.
Maombi na dua maalum imefanyika ili kuliombea Taifa katik kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025 Mgombea Udiwani wa kata ya Segerea Robert Manangwa ameongoza Dua/Maombi ya kuliombea Taifa amani Dua hiyo imefanyika kwa kushirikiana na kamati ya Maridhiano na Amani (JAY MAT) hapa nchini kwenye viwanja vya Toto Tundu uliopo Tabata Kwa nyakati tofauti viongozi hao wa dini pamoja na mgombea udiwani wa kata hiyo wamehimiza amani kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29,2025. Your browser is not able to display this video.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 165,710 Reaction score 184,574 Oct 19, 2025 #2 Ahsante kwa taarifa... Cc: Mahondaw