MAOMBI KWA WANAJF .

MAOMBI KWA WANAJF .

aweson93

Member
Joined
Apr 7, 2018
Posts
11
Reaction score
2
Wanajf Naomba kwa wanaofahamu jinsi Wafanyakazi wanavyoajiriwa katika mashamba ya katani yaani Malipo na Kama wanaajiri wakati huu kwa uzoefu wa miaka iliyopita.
images.jpg
 
Itategemea unataka kaz gan mashambani humo ikitokea nafas zipo wanakuchukua malipo utaambiwa muhim kaonane na estate manager au bwana shamba wa estate husika
 
Itategemea unataka kaz gan mashambani humo ikitokea nafas zipo wanakuchukua malipo utaambiwa muhim kaonane na estate manager au bwana shamba wa estate husika
Kazi ninayotaka upalilizi pamoja na ukataji katani.
 
Back
Top Bottom